Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond Platinumz aibukia programu ya Mziiki

Nyota wa muziki wa bongo flava nchini Diamond Platinumz amewataka wasanii wa Tanzania kusambaza nyimbo zao kwa njia ya teknolojia kama vile Mziiki iliyozinduliwa hivi karibuni ili ziweze kuwafikia watu wengi na kwa wakati huohuo wanamuziki pia kunufaika na jasho lao.
Diamond anasema kuwa  ameamua kazi zake kuziingiza sokoni tofauti na kazi zake za nyuma ambapo baada ya  kushauriana na wadau anaoshirikiana nao kikazi ameamua aingie sokoni kwa njia ya kidigitali kupitia programu ya Mziiki...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Diamond Platinumz aibukia programu ya Mziiki

Nyota wa muziki wa bongo flava nchini Diamond Platinumz amewataka wasanii wa Tanzania kusambaza nyimbo zao kwa njia ya teknolojia kama vile Mziiki iliyozinduliwa hivi karibuni ili ziweze kuwafikia watu wengi na kwa wakati huohuo wanamuziki pia kunufaika na jasho lao.
Diamond anasema kuwa  ameamua kazi zake kuziingiza sokoni tofauti na kazi zake za nyuma ambapo baada ya  kushauriana na wadau anaoshirikiana nao kikazi ameamua aingie sokoni kwa njia ya kidigitali kupitia programu ya Mziiki...

 

10 years ago

GPL

VODACOM TANZANIA YAZINDUA PROGRAMU YA MZIIKI NDANI YA ZARI WHITE PARTY

Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akimsikiliza jambo Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platinumz (kulia) na balozi wa Mziiki ambayo ni programu ya simu za mkononi (mobile app) ya Vodacom  Tanzania iliyozinduliwa jana wakati wa Zari White Party iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana. Msanii wa muziki wa Bongo Flavor Diamond...

 

10 years ago

Michuzi

Diamond Platnumz kushirikiana na Mziiki

 Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platinumz akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza ushirikiano wake na kampuni inayoendesha programu ya Mziiki.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Spice VAS Africa wanaoendesha programu hiyo ya Mziiki,Arun Nagar na kushoto ni Meneja wa Diamond Platinumz,Babu Talle.
Mkali wa Bongo Flava Tanzania Diamond Platnumz amepewa nafasi ya kushirikiana na Mziiki kama Brand Partner. Msanii huyu ambaye...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Diamond Platnumz partners with the Mziiki team

Tanzanian Bongo Flava superstar Diamond Platnumz has been welcomed into the Mziiki family as Brand Partner. The multi-award winning artist is the first one to sign on as a Brand Partner and is already one of the hundreds of exclusively licensed African artists on Africa’s favourite mobile music streaming app, as well as becoming the […]

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY DIAMOND PLATINUMZ

Staa wa muziki wa Bongo Flava Nasibu Abdul 'Diamond Platunumz'. Leo, Octoba 2,  Staa wa muziki wa Bongo Flava Nasibu Abdul 'Diamond Platunumz' anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa anatimiza umri wa miaka 25. Mpenzi wake, Wema  Sepetu ambaye wengi wanasubiri kusikia atasema nini au atatoa zawadi gani kwa Diamond ambaye alimpa gari aina ya Nissan Murano, ameandika machache kwenye Instagram na kueleza kuwa anajipanga...

 

11 years ago

Michuzi

newdeal afrika and ben TV sa thank you to diamond platinumz

 The  management  of  Newdeal  Africa  and  Ben television in  London want  to  the  thank  Tanzania's  greatest  hero,  singer  and song writer Diamond Platinumz. Our  producers  here say  that you  are  among  the  greatest in  the  modern Music  industry Tanzania  has  produced.Keep it  up.It  was  great  to  work  with  you. Thank  you.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani