Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Didier Kavumbagu amtaja Mnigeria aliyemuuzia silaha

Mshambuliaji  wa Yanga, Didier Kavumbagu. Na Hans Mloli
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Didier Kavumbagu anayeonekana kuwa kwenye kiwango kizuri hivi karibuni, amefunguka kuwa mafanikio hayo anayoyapata yanatokana na kupikwa na mshambuliaji wa Nigeria, John Utaka. Kavumbagu, raia wa Burundi ameifungia Yanga mabao manne kwenye mechi tatu za mwisho walizocheza huku akifanikiwa kucheza kwa kiwango kikubwa kwenye mechi hizo huku...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

10 years ago

BBC

Didier Six sacked as Mauritius coach

The Mauritius FA confirms Frenchman Didier Six has been sacked as coach of the national team after going missing following the Cosafa Cup.

 

10 years ago

BBC

Gabon's Didier Ndong signs for Lorient

Gabon international Didier Ndong signs a four-and-a-half-year deal with French Ligue 1 side FC Lorient from Tunisian side CS Sfaxien.

 

11 years ago

BBCSwahili

Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa

Mchezaji soka maarufu wa Ivory Coast Didier Drogba, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndoto ya Didier Drogba nchini Brazil

Ivory Coast ina kibarua dhidi ya Ugiriki kutaka kunyakua nafasi katika timu bora 16. Drogba anasimulia ndoto yake

 

11 years ago

Bongo5

Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa

Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba leo (Agosti 8) ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa na timu yake ya Ivory Coast, lakini ataendelea kuichezea timu yake ya Chelsea. Drogba mwenye miaka 36, aliichezea timu yake ya taifa michezo 104 na kufanikiwa kufunga magoli 60. “Kwa masikitiko makubwa nimechukua uamuzi kwa kustaafu soka la kimataifa” Drogba aliandika […]

 

10 years ago

GPL

MNIGERIA AOZA PENZI LA JOKATE

Stori:  Hamida Hassan na Gladness Mallya
Kutoka moyoni! ‘Ubuyu’ mpya mjini ni madai ya staa wa muziki wa Nigeria, Panshak Zamani ‘Ice Prince’ kuoza akilitamani penzi la staa wa Kibongo, Jokate Mwegelo ‘Jojo’. Staa wa muziki wa Nigeria, Panshak Zamani ‘Ice Prince’ kuoza akiwa na staa wa Kibongo, Jokate Mwegelo ‘Jojo’. MNIGERIA ABEMBELEZA
Habari kutoka kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mnigeria kizimbani dawa za kulevya

RAIA wa Nigeria, Anthony Okafor (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 124.4.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tineja Mnigeria kupokonywa dhahabu

Chika Amalaha, mshindi wa dhahabu ya unyanyuaji uzani Glasgow atapokonywa dhahabu yake leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani