Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIMPOZ NUSURA ASHUSHWE JUKWAANI

Stori: Richard Bukos
Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ juzikati alipata wakati mgumu baada ya mademu kumvaa na kutaka kumporomosha jukwaani wakati wa shoo ya Nani kama Mama iliyofanyika katika Ukumbi wa Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Mashabiki wakimng'ang'ania msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ wakati wa shoo ya nani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yataka Ofisa Utumishi Nkasi ashushwe cheo

Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Felister BuraKAMATI ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeitaka Wizara inayohusika na Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (Tamisemi) kumuondoa na kumshusha cheo Ofisa Utumishi wa Halmashauri ya Nkasi, Deogratias Mboya.

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.

Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM: Ushindi jukwaani 30% tu

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na CCM vinaonekana kushindana kujaza watu kwenye mikutano yao ya kampeni, lakini chama hicho tawala kimesema ushindi wa jukwaani ni asilimia 30 tu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ashuka jukwaani baada ya miaka 53

Shujaa wa muziki wa dansi nchini Muhidin Maalimu Gurumo ameliaga rasmi jukwaa la muziki huo kwa kufanyiwa tamasha maalumu la kumuaga, baada ya kudumu kwa takriban miaka 53 akiimba.

 

9 years ago

GPL

JUSTIN BIEBER AUMBUKA JUKWAANI

Mkali wa Ngoma ya What Do You Mean, Justin Bieber. Los Angeles, Marekani. MKALI wa Ngoma ya What Do You Mean, Justin Bieber usiku wa kuamkia leo aliumbuka jukwaani baada ya kutimba na ‘Skate Board’ kisha kuteleza na kumuumiza goti. Tukio hilo lilitokea katika Ukumbi wa Staples Center, Los Angeles Marekani ambapo Bieber alionekana akiingia kwa mbwewe na Skate Board na baada ya kufika jukwaani akateleza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni wakati wangu shoo za jukwaani

Mwimbaji wa muziki aina ya Zouk nchini Mwasiti Almas amesema kuanzia sasa ataanza kuonekana tena katika shoo za jukwaani, baada ya kukaa pembeni kwa kipindi cha mwaka mmoja.

 

10 years ago

GPL

Y-TONY: KUPANDA JUKWAANI NA JENEZA NI UBUNIFU TU

LEO hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye mwanamuziki Elly Michael Kilema ‘Y Tony’ kijana anayekuja kwa kasi na wimbo wake unaofahamika kama ‘masebene’ anafanya vema sana kupitia staili ya uimbaji wake. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Y-Tony akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano… ...

 

11 years ago

GPL

WASHIRIKI WA MISS TABATA 2014 JUKWAANI

Washiriki wa Miss Tabata 2014 wakiwa stejini ndani ya ukumbi wa Da' West, Tabata.…

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mashabiki Simba wamfukuza Dokii jukwaani

MSANII wa  muziki na filamu,  Ummy  Wenceslaus,   maarufu kama Dokii juzi alipata wakati mgumu   kwenye mechi ya  Yanga dhidi ya Azam baada ya kufukuzwa na mashabiki wa Simba kwenye jukwaa  lao.

Dokii ambae  ni miongoni mwa wasanii wa kike ambao ni mashabiki wakubwa  wa mchezo wa soka, kabla ya kuanza kuishabikia  Azam alikua shabiki wa Yanga.

Msanii huyo alifika Uwanjani  hapo na mwenzake  wakiwa na gitaa, walitaka kukaa upande wa mashabiki wa Simba  ambao walimtaka  ahame eneo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani