Dina: Wakati wa Kina Wema Umekwisha
CHIPUKIZI anayekuja juu na ambaye alifanya vyema katika Filamu ya Nakufa kwa Ajili Yako, Nasra Mohamed ‘Dina’ amesema wakati wa mastaa wenye majina makubwa kama Wema Sepetu umepita kwani wapo wasanii wapya wanaopiga kazi kiuhakika.
Akizungumza na gazeti hili juzikati, Dina alisema mastaa kama Wema, Lulu, Aunt na wengineo ni wa kuwekwa kando, kwani muda wao umeisha, watoe nafasi kwa wengine kuingia kazini.
“Mimi nataka mastaa wakivuma basi wawe wanafanya kazi kisawasawa, siyo wanabakia...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Ni wakati wa kuihoji Serikali kwa kina
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UssxI0Cvnds/Xl1i3Do3ZgI/AAAAAAALgdo/jocZjqv68wMjdrWI-DepgGrF0tbXyu0QQCLcBGAsYHQ/s72-c/6e821ca6-0000-45ab-9998-1f6f0231cebe.jpg)
WATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI
Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkELWgU3AZoqyyyC9f7pCR6MzALoRC2cdGtNxlK24QVuRhc9aj*GGh2YGRNbxS4le2Rluup1PWA7k4jsOX5*ruR7b/Front.jpg?width=650)
WAKATI DIAMOND AKIMTESA NA ZALI, WEMA AJIBU MAPIGO
10 years ago
Bongo Movies09 Feb
Wema Awashukia wanaosema wanachukia wakati wanapeleleza anachokiweka mtandaoni!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu ambae kwasasa amekuja kivingine na mwingine, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu wanaosema hawa mpendi na kumchukia lakini bado wanapeleleza na kumfualitia kila anachokiweka mtandao, na kutumia akaunti feki kumchafua kwa maneno machafu....amewaita jina baya na kuwambia wanatamani kuwa kwenye matawi yake....
“If u say u Hate me and still come spying on what i post plus create fake accounts to insult me, BITCH you actually Envy me... Gnyt now....” Wema...
11 years ago
Bongo Movies18 Jul
Mtunisi Awachana "LIVE" Diamond na Wema Sepetu kwa kuendekeza ‘mapenzi’ wakati wa mwezi mtukufu.
Msanii mkongwe wa filamu nchini, nice mohamed aka mtunisi amewapa makavu live mastaa wenzie ,diamond pamoja na hawara yake wema sepetu aka mama ubaya ,kwa kitendo alichokifanya staa huyo wa filamu(wema) kufutarisha nyumbani kwake na kumkaribisha harawa yake(Diamond) pamoja na mama mkwe wake(haijulikani mkwewe kwa nani na kwa ndoa ipi) bi sanura kitendo ambacho mtunisi amekiona ni kinyume na dini yao hiyo ya kiislamu.
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Muda wa pellegrin umekwisha- Savage.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBihQikIdOM/T6VkXEt2CtI/AAAAAAAAD_s/er5f3CMjQco/s72-c/SIMBA.jpeg)
SIMBA NA YANGA MPIRA UMEKWISHA MABAO NI 0-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBihQikIdOM/T6VkXEt2CtI/AAAAAAAAD_s/er5f3CMjQco/s640/SIMBA.jpeg)
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Ubungo hali shwari, ulanguzi umekwisha