Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dina: Wakati wa Kina Wema Umekwisha

CHIPUKIZI anayekuja juu na ambaye alifanya vyema katika Filamu ya Nakufa kwa Ajili Yako, Nasra Mohamed ‘Dina’ amesema wakati wa mastaa wenye majina makubwa kama Wema Sepetu umepita kwani wapo wasanii wapya wanaopiga kazi kiuhakika.

Akizungumza na gazeti hili juzikati, Dina alisema mastaa kama Wema, Lulu, Aunt na wengineo ni wa kuwekwa kando, kwani muda wao umeisha, watoe nafasi kwa wengine kuingia kazini.

“Mimi nataka mastaa wakivuma basi wawe wanafanya kazi kisawasawa, siyo wanabakia...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ni wakati wa kuihoji Serikali kwa kina

Hakuna shaka, safari ya Dodoma imewadia na saa ya kukuna vichwa kwa viongozi wetu imetimia. Sina shaka, Dodoma ambao ni mji mkuu wa nchi kisiasa, utakuwa umeanza kuchangamka.

 

5 years ago

Michuzi

WATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Salum Manyata  amewahasa wataalamu wa kutoa dawa za usingizi nchini kuwa wana jukumu kubwa la kuboresha utoaji wa huduma wa dawa za usingizi kwa kina mama wajawazito wakati wa upasuaji ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza wakati wa utoaji huduma hiyo.

Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...

 

10 years ago

GPL

WAKATI DIAMOND AKIMTESA NA ZALI, WEMA AJIBU MAPIGO

Stori: SIFAEL PAUL
Habari ya mjini! Gumzo katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuendelea kujiachia na staa wa mrembo mwenye maskani yake nchini Uganda na Afrika Kusini ‘Sauz’, msanii Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ huku aliyekuwa ‘kiburudisho’ wa jamaa huyo, Wema Isaac Sepetu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Awashukia wanaosema wanachukia wakati wanapeleleza anachokiweka mtandaoni!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu ambae kwasasa amekuja kivingine na mwingine, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu wanaosema hawa mpendi na kumchukia lakini bado wanapeleleza na kumfualitia kila anachokiweka mtandao, na kutumia akaunti feki kumchafua kwa maneno machafu....amewaita jina baya na kuwambia wanatamani kuwa kwenye matawi yake....  

“If u say u Hate me and still come spying on what i post plus create fake accounts to insult me, BITCH you actually Envy me... Gnyt now....” Wema...

 

11 years ago

Bongo Movies

Mtunisi Awachana "LIVE" Diamond na Wema Sepetu kwa kuendekeza ‘mapenzi’ wakati wa mwezi mtukufu.

Msanii mkongwe wa filamu nchini, nice mohamed aka mtunisi amewapa makavu live mastaa wenzie ,diamond pamoja na hawara yake wema sepetu aka mama ubaya ,kwa kitendo alichokifanya staa huyo wa filamu(wema) kufutarisha nyumbani kwake na kumkaribisha harawa yake(Diamond) pamoja na mama mkwe wake(haijulikani mkwewe kwa nani na kwa ndoa ipi) bi sanura kitendo ambacho mtunisi amekiona ni kinyume na dini yao hiyo ya kiislamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muda wa pellegrin umekwisha- Savage.

Mchambuzi wa mchezo wa soka wa BBC, Ribbie Savage amemtabiria mabaya meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini.

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA NA YANGA MPIRA UMEKWISHA MABAO NI 0-0

Mprira umekwisha si Simba wala Yanga aliyeona mlango wa mwenzake

 

9 years ago

Mwananchi

Ubungo hali shwari, ulanguzi umekwisha

Hali ya ulanguzi wa kupandisha nauli katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo (UBT) kwa wasafiri imekwisha kutoka Sh150,000 hadi Sh25,000 kwa mikoa ya Kaskazini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani