Diwani: Polisi walioua washitakiwe
DIWANI wa Shume, Rashird Kisimbo, amelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwakamata na kuwafungulia mashitaka ya mauaji askari wake sita wa Kituo cha Polisi Lushoto wanaotuhumiwa kumuua raia mmoja na kujeruhi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Jan
Walioua polisi wasakwa usiku na mchana
JESHI la polisi mkoani Pwani linaendelea na msako mkali kutafuta watu walioua askari wawili wa jeshi hilo na kuiba silaha katika kituo cha polisi Ikwiriri wilayani Rufiji.
10 years ago
Mtanzania23 Jan
Polisi: Tutawatia mbaroni walioua askari
Asifiwe George na Juma Hezron (TSJ), Dar es Salaam,
JESHI la Polisi limesema linaendelea na msako mkali wa kuwabaini watu wanaodaiwa kuhusika na tukio la kuuawa kwa askari polisi wawili wilayani Rufiji.
Watu hao wanaodaiwa kuwa majambazi, walivamia Kituo cha Polisi Ikwiriri ambapo waliua askari wawili na kuiba silaha.
Akizungumza na MTANZANIA, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, Paul Chagonja, alisema pamoja na kuendelea na kazi hiyo, lakini kwa sasa hawezi kuzungumza kwa undani tukio hilo...
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Walioua polisi Stakishari wasomewa mashtaka upya
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UPANDE wa Jamhuri umewasomea upya mashtaka watuhumiwa 10 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya watu saba wakiwamo askari.
Watu hao walifanya mauaji hayo kwenye Kituo cha Polisi Stakishari wilayani Ilala, Dar es Salaam.
Mashtaka hayo yalisomwa upya jana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi, Thomas Simba.
Walisomewa mashtaka hayo muda mfupi baada ya kufutiwa kesi.
Kesi ilifutwa baada ya Wakili wa Serikali Mwandamizi, Hellen Moshi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Rais Kikwete amteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai, pia amteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola kuongoza Idara ya Intelijensia ya Jinai
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uP3QuvEEOw/VVICTQmhiFI/AAAAAAAHW2U/DvrwQjt4GpE/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
‘Wanaowaficha walemavu washitakiwe’
SERIKALI mkoani Pwani imeombwa kuwachukulia hatua za kisheria wazazi wenye tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu kwa kuwa kitendo hicho kinawanyima haki za msingi ikiwemo kusoma. Wito huo ulitolewa juzi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Lx3dc6QB3uk/VJz5ah06q9I/AAAAAAAAOp0/Nzt-pE7LU14/s72-c/DSC_4806.jpg)
Maaskofu: Watuhumiwa wa Escrow washitakiwe
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lx3dc6QB3uk/VJz5ah06q9I/AAAAAAAAOp0/Nzt-pE7LU14/s640/DSC_4806.jpg)
Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa, akihubiri wakati wa Ibada ya sikukuu ya Krismas katika Kanisa Kuu la KKKT Azania Front jijini Dar es Salaam jana.(Picha: Khalfan Said).
Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini, wamemtaka Rais Jakaya Kikwete, kutowaonea haya viongozi wasiokuwa waadilifu wanaokwenda kinyume cha maadili katika kushughulikia mambo mbalimbali.
Kama vile fedha...
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Amnesty:Washukiwa CAR washitakiwe
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
'Walioua 14 Marekani wangeua mamia'
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Netanyahu: walioua wanajeshi watakiona