DK KABATI MBUNGE WA KUIGWA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Mbunge Dk. Ritha Kabati
Na Richard Mwaikenda
Kampeni hiyo ameifanya katika vijiji mbalimbali vilivyopo katika wilaya tatu za mkoa wa Iringa, ambazo ni Mufindi, Kilolo na Iringa.
Katika kuhakikisha Serikali inafanikisha azma yake ya kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu ...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Serikali, sayansi na sintofahamu ya mapambano dhidi ya corona Tanzania
Wakati serikali zote duniani zimeendelea kujifunza namna sahihi ya kupambana na ugonjwa huu, zipo zinazosifika na zile zinazokosolewa kwa namna zinavyopambana na Corona.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Imani za kidini zinasaidia au zinadidimiza mapambano dhidi ya corona?
Katikati ya mwezi Machi mwaka huu nchi ya Malaysia ilifunga mashule, ofisi na sehemu za ibada katika juhudi za kupambana kuenea virusi vya corona, baada ya kubaini mikusanyiko katika misikiti ilichangia pakubwa kuripuka kwa ugonjwa huo.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Je, dawa za mitishamba zina nafasi katika mapambano dhidi ya corona?
Dawa ya asili ya Covid-19 ambayo imetengenezwa nchini Madagascar na kutangazwa na rais Andry Rajoelina imezua mijadala kuhusu matumizi ya dawa za mitishamba barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Jinsi kinyesi cha kuku kinavyotumika mapambano dhidi ya corona
Jinsi Sweden inavyotumia mbinu ya ajabu kupambana na maambukizi ya corona.
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya Corona: Mapambano dhidi ya Corona DRC
Makala inayoonyesha kwa picha changamoto ambazo raia wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanakabiliana nazo katika mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko kwa mwaka 2020.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLnFR9aDeWc/XsUU-Z2iccI/AAAAAAALq8E/AYy-wbLfgWIcvEsUcIuhZsPvX-XNZ7z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb242f8c-1f4b-45fe-baa4-53379fdea120.jpg)
MSIBWETEKE KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA.
Na WAMJW- DSM
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito kwa wananchi, hususan Jijini Dar es Salaam kutobwete na kuwataka kuendelea kuchukua hatua za tahadhari ili kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona katika kipindi hiki.
Dkt. Rashid Mfaume ametoa wito huo leo, wakati akipokea msaada wa barakoa 17,500 sawa na maboksi 350, na vipukusi (sanitizers) lita 700 ambayo ni sawa na madumu 140 yenye ujazo wa lita 5 kutoka kwa Shirika lisilo Lakiserikali la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jQEIjuUDv0k/XrlCAizMm0I/AAAAAAAA4eo/kfOOvsY0plIWGRg0F6iaz4iM8WUo__E5wCNcBGAsYHQ/s72-c/lhrc%2Bcorona.jpeg)
LHRC WACHANGIA VIFAA KINGA, MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jQEIjuUDv0k/XrlCAizMm0I/AAAAAAAA4eo/kfOOvsY0plIWGRg0F6iaz4iM8WUo__E5wCNcBGAsYHQ/s640/lhrc%2Bcorona.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati) akiwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume wakati wa makabidhiano ya vifaa kinga.
Katika kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuendelea kutoa elimu kwa umma juu ya namna ya kukabiliana na maambukizi.
Maambukizi ya virusi vya corona yanaathiri haki za msingi ikiwemo haki ya kuishi, haki ya kufanya kazi na kupata ujira, haki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YWWBFQp9Rk4/XmK1NNSCJyI/AAAAAAALhpQ/tbDs_VgSsAkIUFbaIzEjVeu8poYbcLj_wCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv725c801b30f1m2ds_800C450.jpg)
Mwakilishi wa WHO aipongeza Iran kwa mapambano yake dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-YWWBFQp9Rk4/XmK1NNSCJyI/AAAAAAALhpQ/tbDs_VgSsAkIUFbaIzEjVeu8poYbcLj_wCLcBGAsYHQ/s640/4bv725c801b30f1m2ds_800C450.jpg)
Dr. Christoph Hamelmann ameashiria ziara na ukaguzi wake akiwa pamoja na wataalamu kutoka China katika hospitali na taasisi za afya nchini Iran na kusema: Wataalamu wa China wameathiriwa sana na huduma zinazotolewa katika hospitali hizo.
Mwakilishi wa WHO amesema kuwa, kuwepo vituo bora na madhubuti vya huduma...
5 years ago
MichuziWATANZANIA WENYE UWEZO WATAKIWA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kushoto akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi msaada huo
![](https://1.bp.blogspot.com/-84vK5j5wGE0/Xp__E3PReSI/AAAAAAAAgoY/6yyQW_9RSBEyQrhV5tlYkWx9nP54Ym2mgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200420-WA0015.jpg)
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia akimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto wakati wa makabidhiano ya msaada huo
![](https://1.bp.blogspot.com/-xL3_ehRRRFM/Xp__FbxjLpI/AAAAAAAAgoc/TR8wB2HqvrQlf68dFv-jOdaCDqF2gyZpwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200420-WA0013.jpg)
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania