Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Magufuli akabiliana na Ukawa Mbeya

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli jana alikabiliana na wafuasi wa Chadema katika ziara yake ya kampeni, akawaahidi mabadiliko wanayohitaji ya kuufanya Mkoa wa Mbeya kuwa kitovu cha mabadiliko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Dk Magufuli avunja rekodi ya UKAWA katika mkutano wa kampeni jijini Mbeya

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akitembea kwa miguu baada ya kumaliza kujinadi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi baada ya kumaliza kujinadi  katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwa na watoto...

 

5 years ago

CCM Blog

TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA


Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akitembea kwa miguu baada ya kumaliza kujinadi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya, AGOSTI 28,2015. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOGMgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi baada ya kumaliza kujinadi  katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Akabiliana na Bhangi shuleni

Mwalimu mkuu wa shule amevumbua kemikali inayoweza kutumiwa kuwapima na kuthibitisha kama mwanafunzi anavuta Bangi au la.

 

9 years ago

Raia Mwema

Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa Ukawa

MKUTANO wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Lua

Felix Mwakyembe

 

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA URAIS WA UKAWA ATAMBULISHWA JIJINI MBEYA LEO

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akiwapumbia maelfu ya wafuasi na wapenzi wa vyama vinavyounda UKAWA waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Jijini  Mbeya leo Agosti 14, 2014. Mh. Lowassa na Mgombea mwenza wake Dkt. Juma Haji Duni, walikuwa jijini humo kwa ajili ya zoezi la kutafuta wadhamini wa Tume na kutambulishwa kwa wananchi. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu"...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa wafuata kura milioni 2.8 Mbeya, Mwanza

Siku saba kabla ya uchaguzi, wagombea urais wa Chadema, Edward Lowassa na Dk John Magufuli (CCM) wameanza kuziwinda kura 2,846,537 katika mikoa ya Mwanza na Mbeya ili kuhakikisha zinatosha kuwaingiza Ikulu.

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA UKAWA MKOANI MBEYA LEO

  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa  akiongea na wananchi wa mkoani Mbeya leo alipokuwa ajitambulishwa kama mgombea wa UKAWA. Umati wa watu wakiwemo wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA ukiwa umefurika 
Endelea kutufuatilia kwa matukio zaidi

 

9 years ago

Vijimambo

LALA SALAMA YA KAMPENI ZA UKAWA SASA KUTUA PWANI NA KUMALIZIA MBEYA

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiungwa mkono na vyama vine vinavyounda vuguvugu la Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akimsalimia Bi. Lemmy Mahogija (albino) na Mtoto wake Zawadi Elias, wakati alipowasili kwenye Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Masumbwe, Jimbo la Mbogwe, Mkoani Geita leo Oktoba 14, 2015. Mheshimiwa Lowassa na timu yake ya kampeni, wameendelea kuimarisha kampeni zao...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AFUNIKA MBEYA

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akitembea kwa miguu baada ya kumaliza kujinadi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya. Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi baada ya kumaliza kujinadi  katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani