Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Magufuli: Anzeni kufungasha

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amewataka wahandisi wanaofanya kazi chini ya kiwango na kudhalilisha taaluma hiyo wajiondoe mapema kwa kuwa endapo atapata ridhaa ya kushika dola hatawavumilia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Phiri aambiwa aanze kufungasha virago

Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri. Said Ally na Martha Mboma
UNAKUMBUKA? Uongozi wa Simba ulimpa Kocha Mkuu Patrick Phiri mechi mbili kuhakikisha anapata ushindi vinginevyo kibarua kitaota nyasi lakini tayari ameshaharibu moja, baada ya kutoka sare ya 1-1 na Mtibwa Sugar juzi kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Phiri ambaye hajaonja ladha yoyote ya ushindi kwenye ligi msimu huu kikosi chake kikiwa kimetoka sare sita, sasa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan yataka Unamid kufungasha virago

Uhusiano baina ya maafisa wa Sudan na UNAMID uliingia dosari , baada ya kikosi hicho kujaribu kuchunguza ripoti ya ubakaji wa wanawake wengi unaodaiwa kufanywa na askari wa serikali .

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA: Hebu anzeni kuwafuatilia Etoile du Sahel

Wiki iliyopita, Yanga iliwatoa kimasomaso Watanzania kwa kuirarua Platinum ya Zimbabwe mabao 5-1 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza.

 

5 years ago

Michuzi

RAS TABORA ANZENI KULIMA MAZAO MENGINE KUKABILIANA NA MATATIZO YA KUSHUKA KWA UZALISHAJI WA ZAO LA TUMBAKU






NA TIGANYA VINCENT

HALMASHAURI ambazo zinazotegemea sehemu ya mapato kutoka kwenye zao la tumbaku zimetakiwa kuandaa mkakati mpya ambao utawawezesha kulima mazao mengine ili kuwa na msingi wa vyanzo vipya vya mapato ya ndani.

Hatua hiyo inafuatia Kampuni zinazonunua tumbaku Mkoani Tabora kuendelea kushusha makisio ya uzalishaji kwa wakulima wa tumbaku.

Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu Mkoa wa Tabora Msalika Makungu wakati wa kikao cha robo ya tatu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani