Dk Magufuli: Anzeni kufungasha
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amewataka wahandisi wanaofanya kazi chini ya kiwango na kudhalilisha taaluma hiyo wajiondoe mapema kwa kuwa endapo atapata ridhaa ya kushika dola hatawavumilia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MvPa-Uud91CXpd-XKA6SFH5Fb2z2vctrnaHQGqOKvyLz1QF*yuafDKuLmDNR5Mh8sTRqoENSVZ6-SmSvVfO6cfN/DD.jpg)
Phiri aambiwa aanze kufungasha virago
Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri. Said Ally na Martha Mboma
UNAKUMBUKA? Uongozi wa Simba ulimpa Kocha Mkuu Patrick Phiri mechi mbili kuhakikisha anapata ushindi vinginevyo kibarua kitaota nyasi lakini tayari ameshaharibu moja, baada ya kutoka sare ya 1-1 na Mtibwa Sugar juzi kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Phiri ambaye hajaonja ladha yoyote ya ushindi kwenye ligi msimu huu kikosi chake kikiwa kimetoka sare sita, sasa...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Sudan yataka Unamid kufungasha virago
Uhusiano baina ya maafisa wa Sudan na UNAMID uliingia dosari , baada ya kikosi hicho kujaribu kuchunguza ripoti ya ubakaji wa wanawake wengi unaodaiwa kufanywa na askari wa serikali .
10 years ago
Mwananchi23 Mar
NATOA HOJA: Hebu anzeni kuwafuatilia Etoile du Sahel
Wiki iliyopita, Yanga iliwatoa kimasomaso Watanzania kwa kuirarua Platinum ya Zimbabwe mabao 5-1 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-spoir8wLfTU/Xrjgb1ac2zI/AAAAAAALptg/xdq7uXIcM880Ed8fm8KH5-252FaD_V0XwCLcBGAsYHQ/s72-c/timbaku%252Bpic.jpg)
RAS TABORA ANZENI KULIMA MAZAO MENGINE KUKABILIANA NA MATATIZO YA KUSHUKA KWA UZALISHAJI WA ZAO LA TUMBAKU
NA TIGANYA VINCENT
HALMASHAURI ambazo zinazotegemea sehemu ya mapato kutoka kwenye zao la tumbaku zimetakiwa kuandaa mkakati mpya ambao utawawezesha kulima mazao mengine ili kuwa na msingi wa vyanzo vipya vya mapato ya ndani.
Hatua hiyo inafuatia Kampuni zinazonunua tumbaku Mkoani Tabora kuendelea kushusha makisio ya uzalishaji kwa wakulima wa tumbaku.
Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu Mkoa wa Tabora Msalika Makungu wakati wa kikao cha robo ya tatu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania