Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Mwakyembe aibua zogo jipya

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, dk. Harrison Mwakyembe akionesha mkoba wenye fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake (CCM) kimteue kugombea nafasi ya Urais baada ya kukabidhiwa Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida)WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ameibua mapya wakati akichukua fomu ya kuwania nafasi ya urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinzudi (CCM).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Dk Mwakyembe aibua zogo jipya Richmond

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, dk. Harrison Mwakyembe akionesha mkoba wenye fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake (CCM) kimteue kugombea nafasi ya Urais baada ya kukabidhiwa Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida)WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ameibua mapya wakati akichukua fomu ya kuwania nafasi ya urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinzudi (CCM).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zogo Mwanza

WATU kadhaa wamejeruhiwa na baadhi ya magari yameharibiwa baada ya kuzuka kwa mapambano makali baina ya polisi na wafanyabiashara ndogondogo, maarufu kama machinga. Mapambano hayo yaliyochukua zaidi ya saa sita,...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Malaika — Zogo

Malaika-LOVE

Malaika ni moja ya wasanii warembo wa kike ameachia video mpya wimbo unaitwa “Zogo” video imeongozwa na Hanscana

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

GPL

11 years ago

BBCSwahili

Zogo baada ya Msikiti kuvamiwa Kenya

Vijana walioghadhabishwa na tukio la polisi kuvamia msikiti unaosemekana kutumiwa kuhubiri itikadi kali za kiisilamu mjini Mombasa, wamekabiliana na polisi kwa siku ya 2 leo.

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAJA NA HUDUMA YA ZOGO‏

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya'Zogo' ambayo itawawezesha wateja wa mtandao wa Vodacom  kupiga simu ndani na nje ya mtandao na kujipatia vifurushi kwa gharama nafuu.Ili kujiunga mteja anatakiwa kupiga *149*01#.
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa,akifafanua jambo wakati akitangaza huduma mpya ya 'Zogo' inayoyawezesha wateja wa mtandao wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Zogo Sudan wananchi wakidai haki

Polisi mjini Khartoum wametumia gesi ya kutoa machozi kuvunja maandamano ya zaidi ya watu 200 waliokuwa wanapinga serikali ya Rais Bashir.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tamasha la J LO lazidi kuzua zogo Rabat

Waziri mkuu nchini Morocco ameamrisha kufanywa uchunguzi kuhusu matangazo ya runinga ya tamasha ya mwanamuziki Jennifer Lopez

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani