Zogo Sudan wananchi wakidai haki
Polisi mjini Khartoum wametumia gesi ya kutoa machozi kuvunja maandamano ya zaidi ya watu 200 waliokuwa wanapinga serikali ya Rais Bashir.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI
5 years ago
MichuziWizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...
5 years ago
MichuziHaki ya kutoa Maoni, wananchi waelimishwe
UHURU wa kutoa maoni, kujieleza na kupata taarifa ni mojawapo wa Haki za Msingi za raia wa Tanzania kama ilivyosisitizwa na Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo upo mkanganyiko katika kutafsiri maana ya Uhuru huu uliojikita zaidi katika kukidhi matakwa na maslahi fulani.
Kwa upande mmoja, wapo wanaotafsiri dhana ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza kama Haki ya raia yeyote kuwasilisha mawazo na fikra zake bila vikwazo. Wanaoamini...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Wanasiasa wasipore haki ya wananchi katiba mpya
INAFAHAMIKA na kukubalika popote duniani kuwa katiba ni waraka wa kisiasa. Nadhani wanasiasa tangu awali walifanya njama na hila iwe hivyo kama njia ya kujiwekea ulinzi na kujipatia nafasi kubwa...
9 years ago
StarTV22 Oct
 Wanasheria wawataka wananchi kufahamu haki zao
Wanasheria jijini Arusha wamewataka wananchi kufahamu haki zao za msingi ili waweze kutafuta marekebisho pale haki zao zinapovunjwa.
Hayo yamebainika katika maadhimisho ya siku ya haki za binadamu barani Afrika inayofanyika Oktoba 21 kila mwaka.
Wanasheria hao wamesema Idadi kubwa ya raia wanashindwa kupata haki zao kwa kuwa wengi wao hawafahamu hatua za kufuata pindi ukiukwaji wa haki za binadamu unapotokea.
Wakizungumza katika viunga vya mahakama kuu ya Afrika mawakili,...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Kuimarisha mamlaka ya wananchi ni pamoja na haki ya kumwajibisha mbunge
10 years ago
MichuziMWENDESHA MASHTAKA MKUU WA DARFUR,SUDAN ATEMBELEA MAHAMAKA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU,ASIFU UTENDAJI KAZI WAO
11 years ago
MichuziMAOFISA WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU WAANZA KUPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA NJIA YA SIMU
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora hapa nchini imeanza kuboresha huduma zake kwa jamii baada ya kuanzisha huduma mpya ya kupokea malalamiko ya wananchi kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia simu za kiganjani.
Hayo yalibainishwa jana na Maofisa wa Tume hiyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa stendi ya zamani mjini Tabora ambao ulilenga kutambulisha na kuhamasisha matumizi ya huduma hiyo kwa wananchi na wadau mbalimbali wenye malalamiko yoyote au...
10 years ago
MichuziKINANA-WANANCHI WA KARATU WANA HAKI YA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA MAENDELEO KAMA WENGINE.
Hata hivyo Kinana...