Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zogo Mwanza

WATU kadhaa wamejeruhiwa na baadhi ya magari yameharibiwa baada ya kuzuka kwa mapambano makali baina ya polisi na wafanyabiashara ndogondogo, maarufu kama machinga. Mapambano hayo yaliyochukua zaidi ya saa sita,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Malaika — Zogo

Malaika-LOVE

Malaika ni moja ya wasanii warembo wa kike ameachia video mpya wimbo unaitwa “Zogo” video imeongozwa na Hanscana

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Habarileo

Dk Mwakyembe aibua zogo jipya

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, dk. Harrison Mwakyembe akionesha mkoba wenye fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake (CCM) kimteue kugombea nafasi ya Urais baada ya kukabidhiwa Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida)WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ameibua mapya wakati akichukua fomu ya kuwania nafasi ya urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinzudi (CCM).

 

9 years ago

GPL

10 years ago

BBCSwahili

Tangazo la biashara lazua zogo China

Kampuni moja China huenda ikatozwa faini kwa kuwakodi wanawake kuvua nguo zao kwenye treni mjini Shanghai kama tangazo la biashara.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Zogo baada ya Msikiti kuvamiwa Kenya

Vijana walioghadhabishwa na tukio la polisi kuvamia msikiti unaosemekana kutumiwa kuhubiri itikadi kali za kiisilamu mjini Mombasa, wamekabiliana na polisi kwa siku ya 2 leo.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Mwakyembe aibua zogo jipya Richmond

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, dk. Harrison Mwakyembe akionesha mkoba wenye fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake (CCM) kimteue kugombea nafasi ya Urais baada ya kukabidhiwa Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida)WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ameibua mapya wakati akichukua fomu ya kuwania nafasi ya urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinzudi (CCM).

 

10 years ago

BBCSwahili

Tamasha la J LO lazidi kuzua zogo Rabat

Waziri mkuu nchini Morocco ameamrisha kufanywa uchunguzi kuhusu matangazo ya runinga ya tamasha ya mwanamuziki Jennifer Lopez

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani