Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Mwele akuta ofisi zimefungwa

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk Mwele MalecelaKADA wa CCM anayetafuta wadhamini ili aombe ridhaa ya wanachama wenzake kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu ujao, Dk Mwele Malecela, amepata wakati mgumu wa kupata wadhamini katika Mkoa wa Manyara, baada ya kukosa mwenyeji wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Waziri akuta ‘ofisi nzima’ wako likizo

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amefanya ziara ya kushtukiza Ofisi za Baraza la Ardhi na Nyumba za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na kukuta zaidi ya nusu ya watendaji wake wako likizo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisi za riadha Kenya zimefungwa siku ya pili

Wanariadha wanaendelea kuzingira makao makuu ya shirikisho la riadha la Kenya AK kwa siku ya pili mfululizo kufuatia madai ya kukithiri kwa ufisadi afisini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Mwele Malecela ajitosa urais CCM

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele MalecelaMKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela mtoto wa Makamu wa zamani wa CCM John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM.

 

10 years ago

Dewji Blog

Successful women in the spotlight Interview with Doctor Mwele Malecela

11752481_10101143699808225_3821973930301238449_n

The host of the show Fatema Dewji-Jaffer, during the interview with Doctor Mwele Malecela.

Educate, Empower and Inspire is a women’s empowerment show. The aim of this show is to put successful women in the spotlight and get a glimpse as to how they are making a difference to our society and how much hey can inspire others to do the same. 

I interviewed a girl who dreamed about being a researcher, about a passionate woman who climbed the hills of Amani in search of that dream, and the woman...

 

10 years ago

Michuzi

Dr Mwele Malecela: a Tanzanian medical research institution DG who as girl dreamed of becoming a researcher

A PERSONAL JOURNEY: FROM PARASITE IMMUNOLOGY TO DISEASE CONTROL.


MWELECELE MALECELA


My career at NIMR is a true story of serendipity rather than design. I joined NIMR in 1987 after graduating form the University of Dar-es-Salaam with a B.Sc. in Zoology in 1986. After an extremely rigorous interview process I was assigned to work at the Amani Center and to specifically focus on a disease they called Bancroftian Filariasis. Now I had heard of this disease in my classes at UDSM and the great...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ATANGAZA KUFUNGULIWA SHULE ZOTE ZILIZOKUWA ZIMEFUNGWA KISA CORONA, JUNI, 29, 2020

  Rais Magufuli ametangaza kufungua shule zote  nchini na shughuli zingine za kijamii zilizokuwa zimesitishwa kisa ugonjwa wa Corona
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jumanne June 16, 2020 wakati akilihutubia Bunge kabla ya kulifunga ili kupisha mchakato wa uchaguzi wa Rais, Bunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Octoba Mwaka huu
Amesema hali ya Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana
“Kutokana na mwendendo wa corona kuendelea kuwa mzuri, corona imepungua sana, naomba nitangaze...

 

5 years ago

Michuzi

Ubongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona

Katika kuunga mkono juhudi za kupambana na usambaaji wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona, taasisi ya Ubongo, ambayo inayoongoza barani Afrika kwa kutengeneza vipindi kwa njia ya kidigitali kwa ajili ya kufundisha watoto wa rika mbalimbali kwa njia ya mfumo wa elimu-burudani imesema kuwa itatoa ushirikiano mkubwa katika kuchukua hatua madhubuti na kuwaunga mkono walezi na watoto kuendelea kujifunza nyumbani wakati shule zimefungwa.
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...

 

11 years ago

Habarileo

RC akuta wanafunzi 200 wamekaa sakafuni

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesikitika kuona wanafunzi 200 wa Shule ya Msingi Gongwe katika kijiji cha Mvumi kata ya Msowero wilayani Kilosa, wakikaa sakafuni kutokana na ukosefu wa madawati.

 

10 years ago

GPL

TAJIRI AKUTA MAAJABU NDANI YA BARI!

Na Makongoro Oging’
MAAJABU! Tajiri mmoja mkazi wa jijini Dar es Salaam, Walter Urio anayemiliki biashara mbalimbali zikiwemo hoteli na baa, wiki iliyopita alikuta maajabu ndani ya gari lake baada ya mtu kuingia ndani wakati milango na madirisha yote yalikuwa yamefungwa, Uwazi linathibitisha. Walter Urio meneja wa hoteli. Tukio hilo la aina yake lilitokea nje ya Hoteli ya Nexus iliyopo Makumbusho karibu na kituo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani