Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC akuta wanafunzi 200 wamekaa sakafuni

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesikitika kuona wanafunzi 200 wa Shule ya Msingi Gongwe katika kijiji cha Mvumi kata ya Msowero wilayani Kilosa, wakikaa sakafuni kutokana na ukosefu wa madawati.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi Kilimanjaro kuketi sakafuni mwisho Aprili

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imesema mwisho wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kukaa sakafuni mkoani humo ni Aprili mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 200 watekwa nyara Nigeria

Polisi nchini Nigeria wanasema kuwa shule ya mabweni ya wasichana imeshambuliwa katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

DUCE yapokea wanafunzi 200 badala ya 500

LICHA ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Ualimu Dar es Salaam (DUCE) kuwa na uwezo wa kufundisha wanafunzi zaidi ya 500 wa masomo ya sayansi, wamekuwa wakipokea wanafunzi 200 tu wa masomo hayo.

 

9 years ago

MillardAyo

Wamekaa wanasubiri mwaka mpya, ghafla moto umezuka hotelini Dubai.. (+Video)

Wakati unahesabu dakika chache kuuvuka mwaka 2015 salama, najua kuna watu wangu wako kwenye nyumba za ibada wanamshukuru MUNGU, wengine wamekusanyika na ndugu jamaa na marafiki kwa utulivu kuenjoy huku wakisubiri na kuzihesabu kwa pamoja zile sekunde za mwisho za mwaka 2015 kwa amani kabisa, inanifikia taarifa kutoka Dubai kwamba jingo moja la Hoteli limewaka […]

The post Wamekaa wanasubiri mwaka mpya, ghafla moto umezuka hotelini Dubai.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbio za Sakafuni -3

“Unataka kinywaji gani?” Delilah alimuuliza Ben. “Hata bia moja mbili tatu hivi…” “Unasema bia” “Ndio manake…au unasemaje mwenzangu au wewe hutumii?” “Mimi natumia…” “Bali?” “Hata mimi nakunywa, unadhani ni wapi panafaa kupata kinywaji?” “Ziko sehemu nyingi tu, hata hapa Magomeni kuna grosari nyingi kila ko

 

9 years ago

Mwananchi

Mbio za sakafuni 2

lilah Maurice Shikonyi ni mwanadada mrembo akiwa anaendesha gari lake saa za jioni alimgonga kijana mmoja mtembea kwa miguu aliyevuka barabara kizembe.Akiwa katika harakati za kumpa  msaada , kundi la wananchi  wenye hasira kali lilitokea na kutaka kumwadhibu. Ghafla akatokea kijana mmoja mwenye misuli kwa jina la Ben Kanyau alitokea na kuondoka naye kutoka katika eneo hilo ili kuepukana na zahama zile.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbio za sakafuni

Delilah Maurice Shikonyi, mwanadada mrembo akiwa anaendesha gari lake jioni moja alimgonga kwa bahati mbaya mtembea kwa miguu aliyevuka kizembe. Hata hivyo, wakati akiwa katika harakati za kumpa msaada, kundi la wananchi wenye hasira kali lilitokea na kutaka kumwadhibu. Kwa Bahati nzuri akatokea kijana mmoja mwenye misuli, Ben Kanyau  ambaye alimwokoa  na kuondoka naye.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mbio za sakafuni

Kwenye hii safu yake ya kila Jumapili, Tido Mhando anasimulia kwa muhtasari tu, mengi aliyokutana nayo kwenye kazi ya utangazaji wa redio aliyoifanya kwa zaidi ya miaka 40.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Mwele akuta ofisi zimefungwa

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk Mwele MalecelaKADA wa CCM anayetafuta wadhamini ili aombe ridhaa ya wanachama wenzake kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu ujao, Dk Mwele Malecela, amepata wakati mgumu wa kupata wadhamini katika Mkoa wa Manyara, baada ya kukosa mwenyeji wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani