Wanafunzi Kilimanjaro kuketi sakafuni mwisho Aprili
SERIKALI mkoani Kilimanjaro imesema mwisho wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kukaa sakafuni mkoani humo ni Aprili mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Bango Sangho yawezesha wanafunzi 150 Shule ya msingi Kibugumo kuketi
Balozi wa India nchini, Mh. Debnath Shaw akisalimiana na Daktari bingwa wa Afya ya jamii na familia, Dkt. Ali Mzige kwenye hafla fupi ya kukabidhi madawati 50 pamoja majengo mawili ya shule ya msingi Kibugumo yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO. Katikati ni Mbunge wa Kigamboni Dk Faustine Ndungulile. (Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI 150 waliokuwa katika dhiki ya elimu shule ya msingi...
11 years ago
Habarileo03 Mar
RC akuta wanafunzi 200 wamekaa sakafuni
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesikitika kuona wanafunzi 200 wa Shule ya Msingi Gongwe katika kijiji cha Mvumi kata ya Msowero wilayani Kilosa, wakikaa sakafuni kutokana na ukosefu wa madawati.
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0003.jpg)
BANGO SANGHO YAWEZESHA WANAFUNZI 150 SHULE YA MSINGI KIBUGUMO KUKETI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9FvIR5jO6HM/XmpDzSP1uMI/AAAAAAALizY/Mj_c3WFNkvgf-Scc1GOFesVkyx356VvwwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
APRILI 30 MWISHO MATUMIZI YA VIFUNGASHIO ‘TUBINGS’ VYA PLASTIC
![](https://1.bp.blogspot.com/-9FvIR5jO6HM/XmpDzSP1uMI/AAAAAAALizY/Mj_c3WFNkvgf-Scc1GOFesVkyx356VvwwCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
Kwa mantiki hiyo, Katika masoko yetu hali...
10 years ago
MichuziHatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AR0Y9F5re08/Uzc8Ir3_tUI/AAAAAAAFXYw/UEh4-MHVGdI/s72-c/LULU_UDOM3.jpg)
WANAFUNZI WA UDOM MWAKA WA MWISHO, WAAHIDI KUJIUNGA NA PPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-AR0Y9F5re08/Uzc8Ir3_tUI/AAAAAAAFXYw/UEh4-MHVGdI/s1600/LULU_UDOM3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2PdJ4KEj4NU/Uzc8AKUhcuI/AAAAAAAFXYo/-F1wOVM8LKQ/s1600/LULU_UDOM4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S6EpfziE7yA/Uzc-BVCrh7I/AAAAAAAFXZA/TTtCeTqu1iA/s1600/PPF+CENTRAL+ZONE+MANAGER6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t6nxamUdzyE/Uzc9EppdbSI/AAAAAAAFXY4/mo2tyuzLSpQ/s1600/PPF+Central+zone+manager.jpg)
9 years ago
StarTV09 Sep
Hali ya Wanafunzi wa darasa la 7 wanaofanya mitihani yao ya mwisho
Ikiwa ni siku ya kwanza ya watahiniwa wa Darasa la Saba kufanya mtihani wao wa kuhitimu elimu ya msingi nchi nzima, baadhi ya Shule za msingi jijini Dar Es Salaam zimeoneka kuwa katika hali ya utulivu na amani .
Wanafunzi wameendelea na maandalizi ya mtihani huo, wengine wakiwa wamekaa katika makundi wakijadiliana namna walivyoanza mtihani wengi wao wakiwa na matarajio ya kufanza vyema katika mitihani hiyo.
StarTv imepita katika Shule ya Msingi Kinondoni iliyopo katika Manispaa ya...