Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


APRILI 30 MWISHO MATUMIZI YA VIFUNGASHIO ‘TUBINGS’ VYA PLASTIC


Katika kipindi cha hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wazalishaji wa vifungashio vya plastiki aina ya tubings vinavyotumika kufungashia bidhaa kama karanga, ubuyu na barafu, vikiwa havina kibali kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS), havina lakiri (seal) wala alama (label) kama kanuni namba 3 inavyoelekeza. Vifungashio hivi sasa vinazalishwa kwa wingi kwa ukubwa mbalimbali na vimekuwa vikitumika kama mifuko ya kubebea bidhaa sokoni.

Kwa mantiki hiyo, Katika masoko yetu hali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi Kilimanjaro kuketi sakafuni mwisho Aprili

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imesema mwisho wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kukaa sakafuni mkoani humo ni Aprili mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kuhifadhi vifungashio

Wananchi wametakiwa kuwa makini na vocha za pembejeo za kilimo wanazotumia kwa kuhifadhi vihifadhio vya mbolea hizo ili kudhibiti wauzaji bandia iwapo mbegu au mbolea walizotumia hazitakuwa na ubora.

 

11 years ago

Mwananchi

Vifungashio changamoto kwa wajasiriamali

>Wazalishaji wadogo nchini wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa vifungashio kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha hali inayochangia kuzifanya zishindwe kumudu ushindani na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi hususani katika bei.

 

11 years ago

GPL

VIFO VYA WASANII VITAENDELEA MPAKA APRILI 2015 - MAALIM HASSAN HUSSEIN YAHYA

Mtabiri Maalim Hassan Hussein Yahya amesema kuwa vifo vya wasanii na mastaa vitaendelea mpaka Aprili 2015 wakati akiongea na Global TV Online. Ili kujua sababu za vifo hivyo, usikose kuangalia Global TV Online na kusoma magazeti ya Global…

 

10 years ago

Vijimambo

KING MAJUTO KUVUNJA MBAVU VIWANJA VYA KARIAKOO ZNZ siku ya KARUME DAY, Aprili 7

11081279_10153671778293368_2618536340363672919_n (2)Na Andrew Chale wa Modewji blogMsanii mkali wa maigizo na vichekesho, Nchini, Amri Athuman a.k.a King Majuto anatarajiwa kufanya shoo maalum ya vichekesho katika viwanja vya kufurahia watoto Kariakoo, Aprili 7, mwaka huu Mjini Unguja, Zanzibar.Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo kampuni ya Bond Entertainment Limited, kwa kushirikiana na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), walieleza kuwa gwiji huyo wa vichekesho King Majuto ambaye pia ni mkongwe anayetamba ndani na nje ya Tanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

Harakati kuelekea matumizi ya vitabu vya mitandaoni

Kadri matumizi ya sayansi na teknolojia yanavyoshika kasi nchini, ndivyo wadau wa teknolojia wanavyokuna vichwa kufikiria namna bora ya kurahisha maisha ya Watanzania.

 

11 years ago

Habarileo

Mapato, matumizi vyama vya siasa utata

VYAMA 12 vya siasa nchini vilivyokaguliwa hesabu zake na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG), kwa zaidi ya miaka miwili mfululizo vimepata hati zenye mashaka na hakuna chama kilichopata hati safi. Hayo yamebainishwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi wakati akitoa taarifa ya ukaguzi wa hesabu za vyama vya siasa nchini, mbele ya Kamati za Hesabu za Serikali (PAC) jana jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani