APRILI 30 MWISHO MATUMIZI YA VIFUNGASHIO ‘TUBINGS’ VYA PLASTIC

Katika kipindi cha hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wazalishaji wa vifungashio vya plastiki aina ya tubings vinavyotumika kufungashia bidhaa kama karanga, ubuyu na barafu, vikiwa havina kibali kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS), havina lakiri (seal) wala alama (label) kama kanuni namba 3 inavyoelekeza. Vifungashio hivi sasa vinazalishwa kwa wingi kwa ukubwa mbalimbali na vimekuwa vikitumika kama mifuko ya kubebea bidhaa sokoni.
Kwa mantiki hiyo, Katika masoko yetu hali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Jan
Wanafunzi Kilimanjaro kuketi sakafuni mwisho Aprili
SERIKALI mkoani Kilimanjaro imesema mwisho wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kukaa sakafuni mkoani humo ni Aprili mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Watakiwa kuhifadhi vifungashio
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Vifungashio changamoto kwa wajasiriamali
11 years ago
GPL
VIFO VYA WASANII VITAENDELEA MPAKA APRILI 2015 - MAALIM HASSAN HUSSEIN YAHYA
10 years ago
Vijimambo02 Apr
KING MAJUTO KUVUNJA MBAVU VIWANJA VYA KARIAKOO ZNZ siku ya KARUME DAY, Aprili 7

11 years ago
Mwananchi21 Jan
Harakati kuelekea matumizi ya vitabu vya mitandaoni
11 years ago
Habarileo29 Oct
Mapato, matumizi vyama vya siasa utata
VYAMA 12 vya siasa nchini vilivyokaguliwa hesabu zake na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG), kwa zaidi ya miaka miwili mfululizo vimepata hati zenye mashaka na hakuna chama kilichopata hati safi. Hayo yamebainishwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi wakati akitoa taarifa ya ukaguzi wa hesabu za vyama vya siasa nchini, mbele ya Kamati za Hesabu za Serikali (PAC) jana jijini Dar es Salaam.