Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAJIRI AKUTA MAAJABU NDANI YA BARI!

Na Makongoro Oging’
MAAJABU! Tajiri mmoja mkazi wa jijini Dar es Salaam, Walter Urio anayemiliki biashara mbalimbali zikiwemo hoteli na baa, wiki iliyopita alikuta maajabu ndani ya gari lake baada ya mtu kuingia ndani wakati milango na madirisha yote yalikuwa yamefungwa, Uwazi linathibitisha. Walter Urio meneja wa hoteli. Tukio hilo la aina yake lilitokea nje ya Hoteli ya Nexus iliyopo Makumbusho karibu na kituo cha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE

Ni jambo lilo wazi kuwa watu wote hawawezi kuwa sawa, hivyo watu wote hawawezi  kuwa matajiri. Hivyo kulipo na matajiri  wakubwa na  maskini nao ni wengi. Kwa sababu tajiri na maskini wanategemeana.  Utajiri hauwezi kuwepo bila kuwepo umaskini.Kwa mantiki hiyo ili tajiri awepo maskini lazima awepo na   maskini akiwepo  na tajiri atakuwepo, wote wanategemeana. Kanuni hii ni kwa watu na hata nchi.Ni kweli matajiri wanachukia umaskini  na maskini wenyewe wanatamani utajiri. Hivyo si rahisi kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Msichana wa ndani aua tajiri yake, amchoma kisu kwenye Titi, afa papo hapo

DSC00179111

Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP), Geofrey Kamwela.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

SAKATA la wafanyakazi wa ndani kunyanyaswa na mabosi wao limeingia katika sura ya kipekee safari hii mabosi wamegeukwa na kuuwawa na wafanyakazi hao.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyakazi mmoja wa ndani Mkoani Singida, kumwua tajiri yake kwa kumchoma kwa kisu sehemu ya juu ya titi la kulia kwa madai ya kunyanyashwa na tajiri yake.

Kamanda wa polisi Mkoani Singida (SACP) Geofrey Kamwela alisema...

 

10 years ago

Bongo5

Maajabu: Mmarekani amezwa kwa hiari na nyoka Anaconda ili kufanya utafiti ndani ya tumbo lake

Mtaalamu mmoja wa wanyama pori nchini Marekani, Paul Roslie aliamua kufanya utafiti ndani ya tumbo la nyoka mkubwa aina ya Anaconda ili kuchunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo. Nyoka aina ya Anaconda (picha:Google) Lengo la utafiti huo ambao ulikuwa wa kwanza wa aina yake duniani, ilikuwa ni kuchunguza maumbulie ya ndani ya Nyoka huyo […]

 

10 years ago

TheCitizen

Chicken trade changes Z’bari lives

Many Zanzibaris like Masoud Issa Masoud have almost stopped eating fish due to the delicacy’s skyrocketing prices. They are however, now heaving a sigh of relief following the introduction of high quality but affordable chicken products to the market by Zanchick.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Mwele akuta ofisi zimefungwa

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk Mwele MalecelaKADA wa CCM anayetafuta wadhamini ili aombe ridhaa ya wanachama wenzake kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu ujao, Dk Mwele Malecela, amepata wakati mgumu wa kupata wadhamini katika Mkoa wa Manyara, baada ya kukosa mwenyeji wake.

 

11 years ago

Habarileo

RC akuta wanafunzi 200 wamekaa sakafuni

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesikitika kuona wanafunzi 200 wa Shule ya Msingi Gongwe katika kijiji cha Mvumi kata ya Msowero wilayani Kilosa, wakikaa sakafuni kutokana na ukosefu wa madawati.

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri akuta ‘ofisi nzima’ wako likizo

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amefanya ziara ya kushtukiza Ofisi za Baraza la Ardhi na Nyumba za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na kukuta zaidi ya nusu ya watendaji wake wako likizo.

 

11 years ago

GPL

PADRI AKUTA TUNGULI KABURINI KWA NGWEA

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Ooo…Nooo! Wakati hati ya kifo cha aliyekuwa rapa bora Bongo, marehemu Albert Keneth Mangweha ‘Ngwea’, ikiendelea kushikiliwa nchini Afrika Kusini alikokutwa na umauti mwaka jana, kwenye kaburi lake kumekutwa tunguli zilizozungushiwa sanda, Risasi Jumamosi linakupa mchapo kamili. Padri wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Monica, Kihonda mkoani Morogoro, Octavian Msimbe...

 

10 years ago

GPL

ANG’OLEWA JICHO, ARUDI NYUMBANI, AKUTA MAFURIKO

Haruni sanchawa
MTU mmoja, Mohamed Omary (40) anayesumbuliwa na jicho kwa muda mrefu ambaye ni mkazi wa Kilwa mkoani Lindi, wiki iliyopita alijikuta katika mazingira magumu baada ya kufanyiwa upasuaji uliong’oa jicho lake, lakini aliporejea nyumbani kutoka hospitalini Ocean Road jijini Dar es Salaam, alikuta nyumba ya mwenyeji wake iliyopo Magomeni, imekumbwa na mafuriko. Mohamed Omary akiwa na bandeji jichoni....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani