Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Ndugulile: Wazazi wafuatilieni watoto kielimu

MBUNGE wa Kigamboni, Dk. Faustine Ndugulile, amesema tabia ya wazazi kutofuatilia mienendo ya watoto wao katika masomo ndiyo inachangia kiasi kikubwa wanafunzi kufanya vibaya. Dk. Ndugulile aliyasema hayo Mbagala jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao

Mama-Salma-Kikwete

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo

 Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza  na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.

Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia

Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya

Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume  wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...

 

9 years ago

Mwananchi

Wazazi wakiamua watoto watafanikiwa

Shule ya kwanza ya mtoto ni mzazi au mlezi. Ushauri, maagizo na falsafa ya mzazi, huamua mwelekeo wa mtoto kimasomo na kimaisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi wanachangia watoto kufeli

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita Tanzania imekuwa na rekodi nzuri ya kupanua wigo wa elimu kuanzia idadi ya wanafunzi, walimu na miundombinu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto wapotezana na wazazi Sudan Kusini

Mashirika ya misaada yasema maelfu ya watoto Sudan Kusini wanahofiwa kupotezana na wazazi wao

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazazi wanapaswa kudhibiti unene wa watoto

Wazazi wengi hawazingatii madhara ya kuwa na watoto walionenepa kupita kiasi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi waaswa kuwalinda watoto wao

WAZAZI wametakiwa kuwapokea vizuri na kuwalea kwa maadili wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne wakati wakisubiri matokeo yao ya kwenda kidato cha tano. Rai hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Wazazi wawasaka watoto msituni

Wazazi wa takriban watoto 100 waliotekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Boko Haram wameingia msituni kuwatafuta watoto wao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mali:Kuwashtaki wazazi wa watoto watoro

Mali imesema inapanga kuwashitaki wazazi ambao wanawasafirisha watoto wao wadogo kwenda Ulaya kama wahamiaji,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani