Dk Shein avuka hatua ya kwanza
Kamati Kuu ya Halmashauri ya CCM Zanzibar imempendekeza Dk Ali Mohamed Shein kwa kauli moja kuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar baada ya kuchukua fomu na kuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo kupitia chama hicho, Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Warioba awataka JK, Dk Shein kuchukua hatua kunusuru Katiba
>Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewataka viongozi wa vyama vya siasa kukutana na kufikia makubaliano ili mchakato wa Katiba uendelee hatimaye kupatikana kwa Katiba Mpya kwa masilahi ya Taifa.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DzVEmap-AtU/VZ828bj7cmI/AAAAAAAAR84/BTaEYRU77S4/s72-c/E86A3079%2B%25281280x853%2529.jpg)
MICHUANO YA MBATIA CUP 2015 SASA YAMALIZA HATUA YA KWANZA YA KUPATA MABINGWA WA KATA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzVEmap-AtU/VZ828bj7cmI/AAAAAAAAR84/BTaEYRU77S4/s640/E86A3079%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kikosi kamili cha timu ya Wazalendo kabla ya mchezo wa fainali.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LiCB0-X46cE/VZ83EUNzuHI/AAAAAAAAR9Y/_MGtkW2XD7Q/s640/E86A3090%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kikosi kamili cha Himo fc kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali .
![](http://4.bp.blogspot.com/-LgypwHD40NY/VZ83nWzeqNI/AAAAAAAAR_E/eB18O7OUPU8/s640/E86A3175%2B%25281280x853%2529.jpg)
Katibu Mwenezi wa chama cha NCCR -Mageuzi ,Stanley Temba akiwa ameongozana na katibu wa Vijana wa chama hicho katika jimbo la Vunjo Danieleson Shayo wakisalimiana na wachezaji wa timu zote mbili kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SsliEuF71t4/VZ827ym5eYI/AAAAAAAAR80/nF2MX8mzX1Q/s640/E86A3085%2B%25281280x853%2529.jpg)
Waamuzi wa mchezo huo,Kabwe Korona,Beda Lyimo na Nassib wakizungumza na manahodha wa timu hizo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CjnKTFV92-w/VZ828OwAAlI/AAAAAAAAR88/WWhSQE0-8Sg/s640/E86A3074%2B%25281280x853%2529.jpg)
Benchi la ufundi la timu ya...
10 years ago
Vijimambo21 Apr
RAIS WA ZANZIBAR, DK SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA WADAU WA ZSSF
![dk2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/dk2.jpg)
![dk4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/dk4.jpg)
10 years ago
Habarileo30 Apr
JK avuka Kigamboni kutumia daraja la muda
RAIS Jakaya Kikwete amekuwa Mtanzania wa kwanza kuvuka rasmi Bahari ya Hindi kwa gari kwenda Kigamboni akitokea mjini Dar es Salaam.
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Kingo avuka mipaka ya Afrika mashariki
Nchini Tanzania kuna mchoraji mahiri wa vibonzo maarufu Kingo. Kingo ni kibonzo cha kuchekesha, na chenye busara katika magazeti ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 30. Hivi sasa Kingo ameanza kuvuka mipaka hadi nchi jirani za Kenya, Uganda na Zambia.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WcwB0kRI3oc/U1-74yobF8I/AAAAAAAFeB4/I8bb_4wiYI8/s72-c/unnamed+(4).jpg)
UONGOZI WA OFISI YA MAKAMO WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR WAZUNGUMZA NA DK. SHEIN, IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-WcwB0kRI3oc/U1-74yobF8I/AAAAAAAFeB4/I8bb_4wiYI8/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CKNb2vmkfjs/U1-75HQ-9VI/AAAAAAAFeB8/uZkvxU0iC2M/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Masele avuka kiunzi cha kuvuliwa uongozi
Bunge limefuta pendekezo la Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) lililotaka Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele kuwajibika kuhusiana na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aFWpw4NgQVs/XlAEXKNjAWI/AAAAAAALewc/fG3IFMk2TYQrEGCLfezJ-Pg7lIQ4WukEwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ad49a1a-cf94-43d2-80cb-6adc8e57f1e0.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA MAWAZIRI WENYE DHAMANA YA MANEJIMENTI YA MAAFA KWA NCHI WANACHAMA WA SADC
![](https://1.bp.blogspot.com/-aFWpw4NgQVs/XlAEXKNjAWI/AAAAAAALewc/fG3IFMk2TYQrEGCLfezJ-Pg7lIQ4WukEwCLcBGAsYHQ/s640/8ad49a1a-cf94-43d2-80cb-6adc8e57f1e0.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/c8ac1826-7442-4998-ac0a-7f443f3b0540.jpg)
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.
Matembezi ya raia wa Italia wapatao milioni 60 yamedhibitiwa kutokana na mlipuko. Italia ina idadi kubwa zaidi ya vifo vya virusi vya corona baada ya China.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania