Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK.MAGUFULI ALIVYOREJESHA HUDUMA ZA USAFIRI WA BARABARA ZILIZOJIFUNGA JIJINI DAR

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akishirikiana na watendaji wa Wizara ya Ujenzi na TANROADS akishinda siku nzima na hata kukesha usiku mzima aliweza kushishiriki kikamilifu kama waziri mwenye dhamana kurejesha huduma za usafiri wa barabara zilizojifunga kutokana na kusombwa/kuharibiwa kwa madaraja muhimu yanayouunganisha mji wa Dar es Salaam na maeneo mengine hasa mikoa jirani. Maeneo yaliyoharibiwa ni daraja la Mpiji (Bagamoyo), Mzinga (Mbagala, Kongowe), daraja la Mto...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI DKT. MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA BARABARA ZA PETE JIJINI DAR ES SALAAM.

Waziri wa Ujenzi Mheshimkiwa Dkt.John Pombe Magufuli leo amezindua na kuweka mawe ya msingi katika Ujenzi wa barabara za pete zitakazopunguza msongamano jijini Dar es salaam.
Barabara hizo zilizowekewa mawe ya msingi ni pamoja na ile ya Kinyerezi –Kifuru hadi Mbezi Mwisho yenye urefu wa kilometa 14.0, Kigogo-Tabata Dampo yenye urefu wa kilometa 1.6, na Kimara Baruti-Msewe hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 2.6.
Barabara nyingine ni ile ya External –Kilungure hadi...

 

11 years ago

Michuzi

DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA

Kampuni ya Strabag International GmbH inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kivukoni hapa jijini Dar es Salaam imetakiwa kuhakikisha kuwa inakamilisha ujenzi wa sehemu hiyo ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo kama mkataba wao unavyoelekeza.   Waziri wa Ujenzi Mhe. Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Dar es Salaam Bus Rapid Transit -...

 

5 years ago

CCM Blog

MUONEKANO WA BARABARA ZA JUU UBUNGO DAR, VYOMBO VYA USAFIRI VYAANZA KUPITA


Ni Mei 30, 2020 ambapo Barabara za juu (Flyover ) iliyojengwa Ubungo Dar es Salaam  imeanza kufanya kazi ambapo vyombo vy usafiri vimeruhusiwa kupitia, hapa nimekusogezea picha 11 ujionee.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

 

9 years ago

Michuzi

Rais Magufuli aamuru Fedha zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru Desemba 9 sasa zitumike kujengea barabara ya Mwenge - Morocco, Jijini Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameamuru fedha zilizopaswa kutumika kugharamia shamra shamra za siku ya Uhuru ambazo zingefanyika tarehe 09 Desemba 2015, kutumika kufanya upanuzi wa barabara ya Mwenge hadi Morocco jijini Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 4.3 kwa kuongeza njia mbili za barabara za lami.
Tayari fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni nne zimepelekwa kwa wakala wa barabara hapa nchini TANROADS kwa ajili ya utekelezaji wa agizo hilo, linalopaswa...

 

10 years ago

Michuzi

ADHA YA USAFIRI JIJINI DAR

 Abiria katika moja ya Daladala linalofanya safari zake kati ya Mbezi - Posta wakigombea kuingia kwenye gari hilo kupitia mlango wa Dereva,baada ya Kondakta wa Basi hilo kutofungua mlango kutokana na uwingi wa abiria hao.tukio hili limetokea jioni hii katika kituo cha Daladala cha Posta Mpya,jijini Dar es Salaam. Mara Dereva akashukia mlango wa abiria na kuja kuwazuia abiria kupanda basi hilo kupitia mlango wake,hapo napo ilikuwa mbinde ile mbaya. Mara akafanikiwa kuwadhibiti na kuwataka...

 

10 years ago

Michuzi

usafiri wa pantoni jijini Dar es salaam leo

 Sehemu ya abiria wakisubiri kuvuka kwa pantoni kutokea Kigamboni jijini Dar es salaam. Ni dhahiri idadi ya wakaazi katika eneo hilo la Kigamboni wanaongezeka siku hadi siku na juhudi za serikali kushirikiana na mfuko wa hifadhi ya jamii wa NSSF kujenga daraja kupunguza tatizo la msongamano limekuja kwa wakati muafaka vinginevyo hali isingekuwa nzuri siku za usoni. Umati ukisubiri waliowasili kushuka kabla ya wao kuingia kwenye pantoni leo asubuhi

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)

Katibu Mkuu wa ICAO Bw. Raymond Benjamin akipata maelezo mafupi kutoka kwa Kaimu Meneja Huduma za Hali ya Hewa kwa Usafiri wa Anga Bw. John Mayunga alipotembelea Kituo cha Hali ya Hewa kilichopo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Katika ziara hiyo Bw Raymond alipendezewa na jinsi Mamlaka ilivyoboresha huduma kwa kutumia teknolojia ambapo wateja wanapata ‘flight Folders’ za taarifa za hali ya hewa kwa njia ya kielekronikali (Aviation Information System (AIS). Huduma hii...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maadhimsho ya wiki ya usafiri wa anga duniani yanayoendelea jijini Dar

02

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu na Mawasiliano Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk.Juma Akir (kushoto) Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga(TCAA)Charles   Chacha  na mjumbe wa Bodi wa TCAA Yussuf Mohammed Ali wakimsikilza kwa makini Meneja Mipango na Tathimini wa  Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania (TAA) mhandisi Mbila Mdemu wakati walipotembelea banda la TAA lililopo kwenye maonyesho ya  wiki ya usafiri wa anga Duniani  yanayofanyika  kwenye viwanja vya Makao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani