DK.MAGUFULI ALIVYOREJESHA HUDUMA ZA USAFIRI WA BARABARA ZILIZOJIFUNGA JIJINI DAR
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akishirikiana na watendaji wa Wizara ya Ujenzi na TANROADS akishinda siku nzima na hata kukesha usiku mzima aliweza kushishiriki kikamilifu kama waziri mwenye dhamana kurejesha huduma za usafiri wa barabara zilizojifunga kutokana na kusombwa/kuharibiwa kwa madaraja muhimu yanayouunganisha mji wa Dar es Salaam na maeneo mengine hasa mikoa jirani. Maeneo yaliyoharibiwa ni daraja la Mpiji (Bagamoyo), Mzinga (Mbagala, Kongowe), daraja la Mto...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Jan
WAZIRI DKT. MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA BARABARA ZA PETE JIJINI DAR ES SALAAM.
Barabara hizo zilizowekewa mawe ya msingi ni pamoja na ile ya Kinyerezi –Kifuru hadi Mbezi Mwisho yenye urefu wa kilometa 14.0, Kigogo-Tabata Dampo yenye urefu wa kilometa 1.6, na Kimara Baruti-Msewe hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 2.6.
Barabara nyingine ni ile ya External –Kilungure hadi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/QhKR1KcIPDw/default.jpg)
MUONEKANO WA BARABARA ZA JUU UBUNGO DAR, VYOMBO VYA USAFIRI VYAANZA KUPITA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/77-660x400.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/11-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/22-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/33-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/44-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/66-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/77-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/78-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/99-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/000-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/1222-950x534.jpg)
.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/20-950x534.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli aamuru Fedha zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru Desemba 9 sasa zitumike kujengea barabara ya Mwenge - Morocco, Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Tayari fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni nne zimepelekwa kwa wakala wa barabara hapa nchini TANROADS kwa ajili ya utekelezaji wa agizo hilo, linalopaswa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-54txhL4gdkE/VJgVduJQCmI/AAAAAAAG5Cs/XPMzDhLkw4Q/s72-c/DSC_0214.jpg)
ADHA YA USAFIRI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-54txhL4gdkE/VJgVduJQCmI/AAAAAAAG5Cs/XPMzDhLkw4Q/s1600/DSC_0214.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3k5a37ZdtFo/VJgVebraZNI/AAAAAAAG5C0/irXA0ovSeV4/s1600/DSC_0223.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t5j1EWnLPEc/VJgVkLa2h6I/AAAAAAAG5DE/7e3JMHdYilo/s1600/DSC_0228.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xskr19HQTjM/VUsZOF2FyPI/AAAAAAAHV1M/Kd6BPG55L48/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
usafiri wa pantoni jijini Dar es salaam leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xskr19HQTjM/VUsZOF2FyPI/AAAAAAAHV1M/Kd6BPG55L48/s640/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HCqO0eanTWY/VUsZOR1-q0I/AAAAAAAHV1Q/l8-w4_ex220/s640/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B2s5R9GCCvM/VUsZN22FoEI/AAAAAAAHV1I/OGiYUW9Az7Y/s640/unnamed%2B(67).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s72-c/unnamed+(30).jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Maadhimsho ya wiki ya usafiri wa anga duniani yanayoendelea jijini Dar
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu na Mawasiliano Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk.Juma Akir (kushoto) Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga(TCAA)Charles Chacha na mjumbe wa Bodi wa TCAA Yussuf Mohammed Ali wakimsikilza kwa makini Meneja Mipango na Tathimini wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania (TAA) mhandisi Mbila Mdemu wakati walipotembelea banda la TAA lililopo kwenye maonyesho ya wiki ya usafiri wa anga Duniani yanayofanyika kwenye viwanja vya Makao...