Dk.Shein atembelea Benki ya Damu Salama Zanzibar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-zU-gG83rZBM/VFI8sQidVpI/AAAAAAAGuN0/HTq0idY2lDI/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Mkuu wa maabara ya kuchunguza maradhi mbali mbali Msafiri L.Marijani akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) wakati alipotembelea Maabara katika Hospitali ya Mnazi mmoja leo Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na wafanyakazi wa Kituo cha Damu Salama kiliopo Sebleni Nyumba za Wazee Mjini Zanzibar leo alipofanya ziara fupi kituoni hapo
Afisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN ATEMBELEA JENGO LINALOTARAJIWA KUWA LA UCHUNGUZI WA VIRUSI UNGUJA LEO
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar wakati alipotembelea jengo linalotarajiwa kuwa la Uchunguzi wa Virusi Zanzibar, Binguni Wilaya ya Kati Unguja leo.25/3/2020 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Afya Zanzibar Dkt. Mayasa Salum Ali.(Picha na Ikulu).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...
11 years ago
GPLMPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WQFJA5SYdOY/U-kLpFUySUI/AAAAAAAF-n4/MttKk-yLXDM/s72-c/download+(1).jpg)
10 years ago
MichuziNHIF KUPIMA AFYA NA KUKUSANYA DAMU KWA USHIRIKIANO WA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA KATIKA MIKOA SITA
11 years ago
Michuzi04 Apr
Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja
![](https://3.bp.blogspot.com/-OL279nW9uvc/Uz1zvwQU1PI/AAAAAAACtyo/acaJtwiGJMU/s1600/IMG_9328.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--SlP6p7LWRM/Uz1zs2m6WfI/AAAAAAACtyU/9bKJDwWuU4g/s1600/IMG_9309.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani
Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EYXbjlLREWo/U5vgEQs9ECI/AAAAAAACjZM/ewbmg7rMYIo/s1600/EXIM+BLOOD+PIX+1.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA KUCHANGIA DAMU DUNIANI. DAR ES SALAAM: JUNE 14, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IRxgF1BsE_U/VX6UusV8zuI/AAAAAAAC6qo/te0Vu82P4GA/s640/Exim%2BPicture%2B2.jpg)
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA NIGERIA IKULU JIJINI ZANZIBAR, LEO