DKT.BILAL NA DKT.MAGUFULI WALIPOKAGUA MZANI WA VIGWAZA
![](http://img.youtube.com/vi/AksxxSSfLm0/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Dkt. Bilal azindua Barabara ya Km 10 ya Msoga-Msolwa na kagua mzani mpya wa kisasa wa Vigwaza
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi. Evarist Ndikilo, kwa pamoja wakifunua kitambaa kuzindua rasmi Barabara ya Kilometa 10 ya lami ya Msoga-Msolwa, wakati wa hafla fupi ya uzinduzi huo iliyofanyika jana Feb 17, 2015 Msoga. (Picha na OMR).
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti wa...
10 years ago
MichuziMakamu wa Rais Dkt.Bilal akagua mzani wa Kisasa wa Vigwaza na kufungua barabara ya Msoga — Msolwa km 10
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kFiqzBFCiUQ/VDzqXdG6MtI/AAAAAAADJsM/1wJkfDbkJzQ/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WANANCHI WA SENGEREMA KUMZIKA DKT. SHIJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kFiqzBFCiUQ/VDzqXdG6MtI/AAAAAAADJsM/1wJkfDbkJzQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bWYadoCCK7U/VDzqXVjWt8I/AAAAAAADJsQ/xlwd91__Xsw/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal awaongoza wananchi wa Sengerema kumzika Dkt. Shija
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa shughuli za maziko yaliyofanyika Kijijini kwake, Nyampande Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza, jana Oktoba 13, 2014. (Picha na OMR).
Spika wa Bunge la Jamhuri, Mhe. Anne Makinda, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGWA MWILI WA MAREHEMU DKT. KIGODA KARIMJEE DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lbcyLNat5q8/Vh9e9reA_UI/AAAAAAAIABE/UV-1qhAab-E/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TgNQ23mXB4/Vh9e-dY-GiI/AAAAAAAIABU/2Zq8upR0UpY/s640/04.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-78BAPcbJjdY/Vh9e_3N2p_I/AAAAAAAIABw/7GZpUFoFbF4/s640/07.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZXDVRfMY8p4/VEgB__3ck0I/AAAAAAAGs0g/GVlYDdkcVeM/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
DKT. BILAL AKUTANA NA RAIS WA MMI BINGWA WA MASUALA YA UTAWALA NA UONGOZI KUTOKA BAHAMAS, DKT. MYLES MUNROE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZXDVRfMY8p4/VEgB__3ck0I/AAAAAAAGs0g/GVlYDdkcVeM/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PLwv6e9I2Uw/VEgB_6Sy2PI/AAAAAAAGs0M/ic4r2eYd-g4/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Dkt. Bilal akutana na Rais wa MMI bingwa wa masuala ya utawala na uongozi kutoka Bahamas, Dkt. Myles Munroe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha, Rais wa MMI Bingwa wa Masuala ya Utawala na Uongozi kutoka Bahamas, Dkt. Myles Munroe, na ujumbe wake wakati walipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, juzi Oktoba 20, 2014 akiwa na ujumbe wake na kufanya mazungumzo. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Rais wa MMI Bingwa wa Masuala ya Utawala na...
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa mama mzazi wa Dkt. Edward Hosea, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya marehemu Esther Gigwa, Mama mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward Hosea, wakati alipofika kushiriki kuaga mwili huo nyumbani kwa mkurugenzi huyo, Masaki jijini Dar es Salaam, leo Feb 27, 2015. (Picha na OMR).
Wanafamilia wafiwa wakiwa katika shughuli hiyo ya maziko.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji,...
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Dkt. Bilal ashiriki ibada ya kuwekwa wakfu Askofu, Dkt. Abednego Keshomshahara wa kanisa la KKKT mkoani Kagera
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akimkpongeza Askofu Dkt. Abednego Keshmshahara wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, Mkoani Kagera (kushoto) wakati wa sherehe za kuwekwa Wakfu zilizofanyika kwenye Kanisa la KKKT mjini Bukoba, mkoani Kagera leo Okt 18, 2015. Katikati ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Alex Malasusa. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...