Makamu wa Rais Dkt.Bilal akagua mzani wa Kisasa wa Vigwaza na kufungua barabara ya Msoga — Msolwa km 10
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli kushoto akitoa maelezo kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal kuhusu Mzani wa kisasa wa Vigwaza uliopo Mkoani Pwani ambao umekamilika kwa asilimia 99.8.
Mzani wa Kisasa wa Vigwaza kama unavyoonekana. Mzani huu utapima magari kwa haraka zaidi kwa muda wa sekunde 30 kwa kila gari tofauti na mizani ya sasa inayotumia dakika moja na nusu mpaka mbili.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMakamu wa Rais akagua mzani wa Kisasa wa Vigwaza na kufungua barabara ya Msoga - Msolwa km 10
10 years ago
VijimamboMakamu wa Rais akagua mzani wa Kisasa wa Vigwaza na kufungua barabara ya Msoga — Msolwa km 10
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Dkt. Bilal azindua Barabara ya Km 10 ya Msoga-Msolwa na kagua mzani mpya wa kisasa wa Vigwaza
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi. Evarist Ndikilo, kwa pamoja wakifunua kitambaa kuzindua rasmi Barabara ya Kilometa 10 ya lami ya Msoga-Msolwa, wakati wa hafla fupi ya uzinduzi huo iliyofanyika jana Feb 17, 2015 Msoga. (Picha na OMR).
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eLBiHqwzIfM/VORhenvFxpI/AAAAAAADZxw/C1e7UvhG8nY/s72-c/8.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA BARABARA YA KM 10 YA MSOGA-MSOLWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLBiHqwzIfM/VORhenvFxpI/AAAAAAADZxw/C1e7UvhG8nY/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pHmqkjI_2qU/VORhfGpWpLI/AAAAAAADZx4/2P2emOhsNN8/s1600/9.jpg)
10 years ago
Vijimambo18 Feb
UKAGUZI WA MZANI WA VIGWAZA NA UFUNGUZI WA BARABARA YA MSOGA-MSOLWA KM10.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/AksxxSSfLm0/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxZTZ8ThfrcIJ5wY5mLjHmvb9N9WlUcRKj*bBRo-T6XF*Ltk28xpJztiPeAbO9oRzeHKOkom4ZIg5puviqYIHQuh/MAGU1.jpg?width=650)
MAGUFULI AKAGUA MIZANI YA KISASA YA VIGWAZA MKOANI PWANI PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA KIBAMBA-KWEMBE-MAKONDEKO
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal awajulia hali wananchi walioangukiwa na nyumba zao kwa upepo na mvua kubwa Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete (wa pili kulia), Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya Viongozi, wakati alipowasili Kitongoji cha Mnazi Mmoja, Msoga jana kwa ajili ya kuwafariji wananchi waliokubwa na maafa kwa kuangukiwa na nyumba zao kutokana na Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi. Katika tukio hilo jumla ya watu 12 walijeruhiwa na jumla ya nyumba 128...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J_lhZxzJHV8/VQWlO_Kzr7I/AAAAAAAHKg8/WqtRtW2_Evw/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
JUST IN: MZANI WA KISASA WA VIGWAZA WAANZA KAZI RASMI