Dogo Janja baada ya kuona “Nakupenda sema unakaujinga”>>>Uwoya
Leo March 31,2018 kwenye upande wa entertainment story inayochukua headlines ni kuhusu wanandoa wawili muigizaji Irene Uwoya na Dogo Janja hii ni kutokana na comment ya Dogo Janja baada ya post ya Irene Uwoya kwenye instagram page yake.
Irene Uwoya ameandika >>>“Nakupenda sema unakaujinga” baada ya caption hiyo ya Irene Uwoya maswali mengi yalijitokeza kwa mashabiki kutokana na Irene Uwoya kutotaja jina la mtu anayempenda na mwenye ujinga na wengi kubaki na maswali.
Baada ya muda Dogo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
DOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dogo Janja arejea Tip Top Connection
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...
10 years ago
Bongo522 Sep
Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja
11 years ago
GPLDOGO JANJA SHULE NDIYO KILA KITU
11 years ago
CloudsFM13 Aug
DOGO JANJA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHA SHULE
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janjaro ambaye aliwahi kuwa kwenye kundi la TipTop Connection baada ya kutofautiana na Madee hadi akafunguka kwenye media kuwa alikuwa ananyonywa,lakini sasa hivi amerudi tena kwenye kundi hilo na hivi karibuni alipafomu kwenye jukwaa la fiesta jijini Mwanza.
Msanii huyo mwaka juzi alikuwa anasoma katika shule fulani ya sekondari jijini Dar, lakini hivi karibuni pia alifunguka rasmi kuwa ameamua kuachana na masomo ya sekondari akiwa kidato cha pili kwa kile...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Dogo Janja aanza kufanyia kazi Arusha
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’, amesema kwa sasa atakuwa anafanya kazi zake za muziki jijini Arusha kutokana na mashabiki wengi wa Dar es Salaam...
10 years ago
GPL
“NINA TATIZO LA MGONGO”
11 years ago
GPL
DOGO JANJA, ASLAY WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA
11 years ago
CNN (Blog)14 Feb
Tanzania's Blood Ivory: “This is madness now”
IPPmedia
CNN (blog)
That's the dire message from the president of Tanzania, who spoke to CNN's Christiane Amanpour about his country's battle against wildlife poaching. President Jakaya Kikwete joined Amanpour in London, where heads of state are meeting to find a solution ...
Tourism asset protection Tanzanian President bans the sale of ivory stockpileeTurboNews
Tanzania president says poaching boom threatens elephant populationReuters
Mulls...