Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOLPH LUNDGREN AKOJOLEWA KWENYE NDEGE

Mkongwe wa filamu za mapigano kutoka Hollywood, Dolph Lundgren. MKONGWE wa filamu za mapigano kutoka Hollywood, Dolph Lundgren hivi karibuni alijikuta katika wakati mgumu baada ya staa mwenzake wa kituo cha MTV, Matthew Pritchard kumkojolea akiwa ndani ya ndege. Matthew akiwa katika harakati za kumkojolea Dolph (aliyezungushiwa duara). Tukio hilo lilitokea ndani ya ndege binafsi iliyobeba mastaa hao wakiwa na watu wengine wengi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAZINDUA MFUMO MPYA WA KISASA WA USIMAMIZI WA MIZIGO KWENYE VIWANJA VYA NDEGE

SHIRIKA la ndege la Etihad ambalo ndio shirika rasmi la nchi ya Falme za kiarabu, leo hii limetangaza makubaliano na kampuni ya Luggage Logistics kuboresha mfumo mzima wa usimamizi wa mizigo katika viwanja vake vya ndege dunia nzima.

Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la ETIHAD lazindua mfumo mpya wa kisasa wa usimamizi wa mizigo kwenye viwanja vyake vya ndege

Etihad-Airways-Boeing-787-set-to-fly-to-five-further-destinations-in-2016

Shirika la ndege la Etihad ambalo ndio shirika rasmi la nchi ya Falme za kiarabu, leo hii limetangaza makubaliano na kampuni ya Luggage Logistics kuboresha mfumo mzima wa usimamizi wa mizigo katika viwanja vake vya ndege dunia nzima.

 Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Aponea kifo kwenye gurudumu la ndege

Mvulana mwenye umri wa miaka 16 amenusurika kifo kwa maajabu baada ya kujificha na kusafiri katika gurudumu la ndege kwa saa 5 Marekani

 

11 years ago

Habarileo

‘Nilishiriki kupakia twiga kwenye ndege’

TwigaSHAHIDI wa 20 katika kesi ya utoroshaji wa wanyama hai aina ya twiga kwenda Arabuni, amedai kushuhudia wanyama hao wakipakiwa katika ndege saa nane usiku.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge akanusha kufanya vurugu kwenye ndege

MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki Tanzania (EALA) Shy-Rose Bhanji amesema tuhuma dhidi yake zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii na magazeti mengine katika nchi wanachama wa jumuiya hiyo, zimelenga kuchafua sifa yake, sababu kubwa akisema ni chuki dhidi ya watu wasioipenda misimamo yake ndani ya bunge hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakatazwa kuingia kwenye ndege, kisa HIV

Abiria wawili wa shirika la ndege la China (China Airline), wameamua kulipeleka shirika hilo mahakamani

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya kusafirisha twiga kwenye ndege yakwama

UPANDE wa mashitaka katika kesi ya usafirishaji wa wanyama hai aina ya twiga kwenda Doha, Qatar wameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kilimanjaro, kutoa hati ya kukamata mshitakiwa wa kwanza raia wa Pakstani, Kamran Ahmed ambaye hakufika mahakamani.

 

10 years ago

Mwananchi

Sir Andy Chande: Nilinusurika kutekwa kwenye ndege

Siku iliyofuata saa 3 asubuhi, waziri akiwa na miwani ya rangi nyeusi, tena baada ya kupata vikombe viwili vikubwa vya maziwa, alitoa hotuba ambayo kamwe sikuwahi kuisikia akizungumzia mambo kadhaa yaliyokuwa yamependekezwa na Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani