DOLPH LUNDGREN AKOJOLEWA KWENYE NDEGE
![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrXBBjtGlRWzg7zqnfg2ZXfs9d2DYuCkeQDtzCZ4sZsU2gzyC6W6qw3aFE0mBoVXLWzjK2Z-9D*EOMGK5nwm*w5/dolph.jpg?width=650)
Mkongwe wa filamu za mapigano kutoka Hollywood, Dolph Lundgren. MKONGWE wa filamu za mapigano kutoka Hollywood, Dolph Lundgren hivi karibuni alijikuta katika wakati mgumu baada ya staa mwenzake wa kituo cha MTV, Matthew Pritchard kumkojolea akiwa ndani ya ndege. Matthew akiwa katika harakati za kumkojolea Dolph (aliyezungushiwa duara). Tukio hilo lilitokea ndani ya ndege binafsi iliyobeba mastaa hao wakiwa na watu wengine wengi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mWR5AJF1938/VnqJZmD9A2I/AAAAAAAIOM4/oePQsgqdK0E/s72-c/1.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAZINDUA MFUMO MPYA WA KISASA WA USIMAMIZI WA MIZIGO KWENYE VIWANJA VYA NDEGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-mWR5AJF1938/VnqJZmD9A2I/AAAAAAAIOM4/oePQsgqdK0E/s640/1.jpg)
Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD lazindua mfumo mpya wa kisasa wa usimamizi wa mizigo kwenye viwanja vyake vya ndege
Shirika la ndege la Etihad ambalo ndio shirika rasmi la nchi ya Falme za kiarabu, leo hii limetangaza makubaliano na kampuni ya Luggage Logistics kuboresha mfumo mzima wa usimamizi wa mizigo katika viwanja vake vya ndege dunia nzima.
Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Aponea kifo kwenye gurudumu la ndege
11 years ago
Habarileo26 Feb
‘Nilishiriki kupakia twiga kwenye ndege’
SHAHIDI wa 20 katika kesi ya utoroshaji wa wanyama hai aina ya twiga kwenda Arabuni, amedai kushuhudia wanyama hao wakipakiwa katika ndege saa nane usiku.
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mbunge akanusha kufanya vurugu kwenye ndege
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki Tanzania (EALA) Shy-Rose Bhanji amesema tuhuma dhidi yake zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii na magazeti mengine katika nchi wanachama wa jumuiya hiyo, zimelenga kuchafua sifa yake, sababu kubwa akisema ni chuki dhidi ya watu wasioipenda misimamo yake ndani ya bunge hilo.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Wakatazwa kuingia kwenye ndege, kisa HIV
11 years ago
Habarileo25 Mar
Kesi ya kusafirisha twiga kwenye ndege yakwama
UPANDE wa mashitaka katika kesi ya usafirishaji wa wanyama hai aina ya twiga kwenda Doha, Qatar wameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kilimanjaro, kutoa hati ya kukamata mshitakiwa wa kwanza raia wa Pakstani, Kamran Ahmed ambaye hakufika mahakamani.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Sir Andy Chande: Nilinusurika kutekwa kwenye ndege