Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dondoo za ligi kuu ya Premier

Hizi ni dondoo za ligi kuu ya Premier, usiachwe nyuma

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAPENZI WA SOKA JITOKEZENI KUPIGA PICHA NA KOMBE LA LIGI KUU YA UINGEREZA (BARCLAYS PREMIER LEAGUE)

BENKI  ya Barclays hapa nchini yawaletea wapezi wa soka kombe la ligi kuu ya uingereza kwaajili ya kupiga nalo picha ikiwa mwaka huu ni mwisho wa benki hiyo kudhamini ligi kuu nchini Uingereaza, Pia wananchi wajitokeze kufungua akaunti kwaajili ya mshara katika benki hiyo ili kujishindia tiketi mbili za kwenda kuangalia ligi kuu ya uingereza.






Hayo yamesemwa na Kaimu Mkuu wa kitengo cha Masoko benki ya Barclays, Joe Bendera wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Karibuni Ligi Kuu

WAKATI Ligi Kuu ya Tanzania Bara ikielekea ukingoni, timu tatu za kuchukua nafasi ya timu zilizoshindwa kuhimili kishindo, zimeshajulikana kutoka Ligi Daraja la Kwanza. Hiyo ni kwa mujibu wa kanuni...

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji 30 wasajiliwa Ligi Kuu

Wakati dirisha dogo la usajili kwa timu za Ligi Kuu na zile za Ligi Daraja la Kwanza nchini likitarajiwa kufungwa jana saa 6 usiku, nyota 30 wamesajili kuchezea timu mbalimbali za Ligi Kuu hadi wakati gazeti hili linakwenda mtamboni.

 

9 years ago

Habarileo

Joto Ligi Kuu juu

JOTO la Ligi Kuu ya soka ya Tanzania Bara limeanza kupanda miongoni mwa timu 16 zinazotarajiwa kushuka dimbani kuanzia Jumamosi wiki hii, kusaka mfalme wa msimu wa 2015-16.

 

9 years ago

Habarileo

Makocha: Ligi Kuu ngumu

MAKOCHA wa timu mbalimbali za Ligi Kuu wamekiri kuwa ligi hiyo msimu huu imekuwa ngumu kiasi cha kuzigawanya timu katika makundi mawili, kwa maana ya timu za daraja la juu na timu za daraja la chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani