DOWNLOAD : MB DOGG - #HERUFI KUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-5MBPQivgjQM/VBb3psEnveI/AAAAAAAABIw/MPkNulezkxE/s72-c/MB%2BDogg.jpg)
Jamtz.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Sep
New Music: Mb Dog — Herufi Kuu
Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Mb Dog wimbo unaitwa “Herufi Kuu” Producer Makopa (B Mateliar)
10 years ago
Michuzi14 Sep
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Matumizi ya herufi kubwa
Matumizi ya Herufi Kubwa.
Na Stephen Maina
Wasomaji wengi wanaweza kudhani kuwa makala haya yamepitwa na wakati lakini sivyo ilivyo. Nadhamiria kwa dhati kutoa ufafanuzi kidogo kuhusu matumizi ya herufi kubwa baada ya kugundua kuwa baadhi ya waandishi hunipigia simu na pia hunifuata wakitaka kufahamu ni wapi katika sentensi tunatumia herufi kubwa. Mahojiano haya yananikumbusha somo la Kiswahili katika shule za msingi  nikiwa darasa la nne. Somo hili lilifundishwa na walimu wenye kiwango...
11 years ago
Mwananchi18 May
Matumizi ya herufi ‘h’ na upotoshaji wa neno ‘kufariki’
Sehemu ya kwanza ya makala yangu nitaitumia kwa ajili ya kutoa maoni ya wasomaji wa gazeti la Mwananchi. Nimechagua wasomaji watatu walioniandikia na nikaona ni bora mawazo yao yaenee kwa wasomaji wengine kama changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-42hoMhp4nWg/VSy0OJFmK-I/AAAAAAABLdE/jwX7WPi12Cg/s72-c/iStock_000019688253Small-2.jpg)
JE UNAITAMBUA SIRI YA HERUFI YA MWANZO YA JINA LAKO BASI SOMA HAPA KUIJUA SASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-42hoMhp4nWg/VSy0OJFmK-I/AAAAAAABLdE/jwX7WPi12Cg/s1600/iStock_000019688253Small-2.jpg)
HERUFI AMwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira.
HERUFI BMwenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.
HERUFI CMwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa...
11 years ago
GPL10 Jun
9 years ago
Bongo517 Dec
Video: Christina Milian Ft. Snoop Dogg – Like Me
![milian1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/milian1-300x194.jpg)
Christina Milian anaendelea kuachia single baada ya single hii ni video yake mpya ya wimbo unaitwa “Like Me” itakuwa inapatikana kwenye Extended Play (EP) yake, 4U… Baada ya kuachia ngoma na rapper Lil Wayne, time hii Christina amemshirikisha rapper Snoop Dogg.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo16 Jan
SNOOP DOGG SASA KUITWA BABU
![](http://cdn03.cdn.justjared.com/wp-content/uploads/2015/01/dogg-grandpa/snoop-dogg-is-a-grandpa-at-43-02.jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-VQFzrltQhqs%2FVLiICyvyUjI%2FAAAAAAADVmg%2FFV7rv_HZ-cA%2Fs1600%2F5121e75dc9ebf.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-ktmZhpxe7hc%2FVLiICGeoAXI%2FAAAAAAADVmY%2FgzZquZPXBUE%2Fs1600%2F5286ef399ea19.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-USvQTFxwvaA/Uvc8UruoiUI/AAAAAAAAHnA/m2Sf2-QWeE4/s72-c/MB+DOGG.jpg)
Mb Dogg kusambaza ‘Baby Mbona Umenuna’?
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mbwana Mohammed maarufu kama Mb Dogg, yupo kwenye mipango ya kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Baby mbona umenuna?.
Mb Dogg pichani, wimbo wake mpya wa 'Baby Mbona Umenuna' utakuwa balaa na unatarajiwa kumuweka tena kileleni.
Wimbo huo umerekodiwa katika Studio za Maccopa, ambapo unatarajiwa kurudisha makali na heshima ya msanii huyo aliyewahi kuwika katika tasnia hiyo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya...
![](http://1.bp.blogspot.com/-USvQTFxwvaA/Uvc8UruoiUI/AAAAAAAAHnA/m2Sf2-QWeE4/s1600/MB+DOGG.jpg)
Wimbo huo umerekodiwa katika Studio za Maccopa, ambapo unatarajiwa kurudisha makali na heshima ya msanii huyo aliyewahi kuwika katika tasnia hiyo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania