Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOWNLOAD : MB DOGG - #HERUFI KUU

Jamtz.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Mb Dog — Herufi Kuu

Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Mb Dog wimbo unaitwa “Herufi Kuu” Producer Makopa (B Mateliar)

 

10 years ago

Mwananchi

Matumizi ya herufi kubwa

Matumizi ya Herufi Kubwa. Na Stephen Maina Wasomaji wengi wanaweza kudhani kuwa makala haya yamepitwa na wakati lakini sivyo ilivyo. Nadhamiria kwa dhati kutoa ufafanuzi kidogo kuhusu matumizi ya herufi kubwa baada ya kugundua kuwa baadhi ya waandishi hunipigia simu na pia hunifuata wakitaka kufahamu ni wapi katika sentensi tunatumia herufi kubwa. Mahojiano haya yananikumbusha somo la Kiswahili katika shule za msingi  nikiwa darasa la nne. Somo hili lilifundishwa na walimu wenye kiwango...

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya herufi ‘h’ na upotoshaji wa neno ‘kufariki’

Sehemu ya kwanza ya makala yangu nitaitumia kwa ajili ya kutoa maoni ya wasomaji wa gazeti la Mwananchi. Nimechagua wasomaji watatu walioniandikia na nikaona ni bora mawazo yao yaenee kwa wasomaji wengine kama changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili.

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNAITAMBUA SIRI YA HERUFI YA MWANZO YA JINA LAKO BASI SOMA HAPA KUIJUA SASA


HERUFI AMwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira.
HERUFI BMwenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.
HERUFI CMwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa...

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Video: Christina Milian Ft. Snoop Dogg – Like Me

milian1

Christina Milian anaendelea kuachia single baada ya single hii ni video yake mpya ya wimbo unaitwa “Like Me” itakuwa inapatikana kwenye Extended Play (EP) yake, 4U… Baada ya kuachia ngoma na rapper Lil Wayne, time hii Christina amemshirikisha rapper Snoop Dogg.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Vijimambo

SNOOP DOGG SASA KUITWA BABU

Snoop Dogg mwenye umri wa miaka 43 sasa ni babu baada ya mtoto wake wa kiume Corde Broadus mwenye umri wa miaka 21 kupata kinda mwenzake siku ya tarehe 10, Mama wa mtoto huyo ni Jessica Kyzer mwenye umri wa miaka 23 na mwenye professional ya Modeling huko Anaheim, California.
Mama wa mtoto Zion ndo huyu.

 

11 years ago

Michuzi

Mb Dogg kusambaza ‘Baby Mbona Umenuna’?

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mbwana Mohammed maarufu kama Mb Dogg, yupo kwenye mipango ya kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Baby mbona umenuna?. Mb Dogg pichani, wimbo wake mpya wa 'Baby Mbona Umenuna' utakuwa balaa na unatarajiwa kumuweka tena kileleni.
Wimbo huo umerekodiwa katika Studio za Maccopa, ambapo unatarajiwa kurudisha makali na heshima ya msanii huyo aliyewahi kuwika katika tasnia hiyo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani