Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mb Dogg kusambaza ‘Baby Mbona Umenuna’?

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mbwana Mohammed maarufu kama Mb Dogg, yupo kwenye mipango ya kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Baby mbona umenuna?. Mb Dogg pichani, wimbo wake mpya wa 'Baby Mbona Umenuna' utakuwa balaa na unatarajiwa kumuweka tena kileleni.
Wimbo huo umerekodiwa katika Studio za Maccopa, ambapo unatarajiwa kurudisha makali na heshima ya msanii huyo aliyewahi kuwika katika tasnia hiyo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

11 years ago

Michuzi

Mb Dog aimwagia sifa video yake ya ‘Mbona Umenuna’

Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam MKALI wa muziki wa kizazi kipya, Mbwana Mohamed Mb Dog, amesifia video ya wimbo wake mpya ya Mbona Umenuna akisema imeandaliwa kwa kiwango cha juu na kudhihirisha ubora wake. Mb Dog  Akizungumza leo asubuhi jijini Dar es Salaam, Mb Dog alisema mashabiki wote watakaopata bahati ya kuitazama video hiyo iliyotengenezwa na Abby Kazi, ataamini makali yake. Alisema lengo lake ni kuwapatia mashabiki burudani kamili, hivyo wadau wote wapate muda wa kuitazama video...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.

Mnaonipa Moyo na Kunipenda kiukweli....NAWAJUA
Wakuongea Nao Ya Moyoni....NAWAJUA
Wale wa kuni baby baby on IG kumbe Hakuna lolote....NAWAJUA
Wale mnajifanya shoulders to cry on ili mpate kunijua kirahisi...NAWAJUA ila SIWEZI KUWAPA HIYO CHANCE AISEEE...I'm Soleeeeee
Wale tunaochekeana kinafki...NAWAJUA I hope MNANIJUA PIA yani TUNAJUANA
Wale Waukweli kbsa ....NAWAJUA

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

GPL

UCHAGUZI HUU MBONA NTAKOMA!

Yaani nimekaa hapa nakumbuka wimbo wa zamani wa NUTA Jazz band, ulikuwa unasema Nimuokoe nani. Mtumbwi unazama, ndani ya mtumbwi yuko jamaa na mkewe na mtoto na baba na mama yake, uwezo wake kumuokoa mtu mmoja sasa amuokoe nani? Na ndiyo yanayonikuta.  Kisa na mkasa ni demokrasia. Shangazi kachukua fomu ya ubunge wa chama kipya hata jina sijalishika na kapitishwa agombee, baba mdogo kapitishwa agombee kwenye chama mafuriko,...

 

10 years ago

GPL

KUACHANA MBONA KAWAIDA, ACHA VISASI!

ENHEE Shosti, unaendeleaje na mishemishe za kila siku hapo ulipo? Tunakutana tena leo katika mfululizo wa mazungumzo yetu ya kimahusiano kupitia safu yetu hii murua kabisa ya mahaba. Hapo juu kichwa cha habari kinaeleweka, nimeamua kuandika mada hii kutokana na kupata meseji kutoka kwa msomaji ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini, lakini aliomba ushauri afanyeje kutokana na mwenza wake wa zamani, kujenga uadui na visasi...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Mbona Mnanisimanga Kisa Mimi Mnene

Muigizaji na muongozaji wa filamu  Jacob Stephen “JB” akionekana mwenye tabasamu pana na misosi mingi juu ya meza mbele yake, JB aliweka picha hii mtandaoni na kulalamika kuwa watu wemekuwa akimsakama sana kuwa anapenda kula kisa ndiomnana anazidi kuwa bonge. Ikionekana ni utani JB aliandika;

“Hivi jamani mbona mnanionea.kila nikiweka picha ya msosi maneno.haya jana nilikuwa nimeweka picha ya ngisi na mabilinganya na salad. bado mnasema nakula sana.sasa nitakuwa nakunywa maji tu.sili tena...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbona Wakenya wanamkaribisha Kenyatta 'nyumbani'?

Kwa siku mbili sasa, Wakenya mtandaoni wamekuwa wakiandika jumbe za kumkaribisha Rais Uhuru Kenyatta nchini Kenya wakitumia #UhuruInKenya kana kwamba yeye ni mgeni. Mbona?

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Mbona Mnanisimanga Kisa Mimi Ni Mnene

Muigizaji na muongozaji wa filamu  Jacob Stephen “JB” akionekana mwenye tabasamu pana na misosi mingi juu ya meza mbele yake, JB aliweka picha hii mtandaoni na kulalamika kuwa watu wemekuwa akimsakama sana kuwa anapenda kula kisa ndiomnana anazidi kuwa bonge. Ikionekana ni utani JB aliandika;

“Hivi jamani mbona mnanionea.kila nikiweka picha ya msosi maneno.haya jana nilikuwa nimeweka picha ya ngisi na mabilinganya na salad. bado mnasema nakula sana.sasa nitakuwa nakunywa maji tu.sili tena...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani