Mb Dogg kusambaza ‘Baby Mbona Umenuna’?
![](http://1.bp.blogspot.com/-USvQTFxwvaA/Uvc8UruoiUI/AAAAAAAAHnA/m2Sf2-QWeE4/s72-c/MB+DOGG.jpg)
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mbwana Mohammed maarufu kama Mb Dogg, yupo kwenye mipango ya kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Baby mbona umenuna?.
Mb Dogg pichani, wimbo wake mpya wa 'Baby Mbona Umenuna' utakuwa balaa na unatarajiwa kumuweka tena kileleni.
Wimbo huo umerekodiwa katika Studio za Maccopa, ambapo unatarajiwa kurudisha makali na heshima ya msanii huyo aliyewahi kuwika katika tasnia hiyo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL21 May
11 years ago
Michuzi21 May
Mb Dog aimwagia sifa video yake ya ‘Mbona Umenuna’
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/6UZRdYT38FnVyYabE4Q5jI8tRRUjwsDiuw6uuCDzqMFrfOx_YXhOpJRl8jX9oi8JP_kkxTBXd6oVDkV3iCT0h7bRsD9yNguODN1xHugy623FPB91hdPeXzPYAjvLTdcXxD77_2SLsZaz-F_s5LJFBbT32eIdFKHWiJytcPOqBVz6dgBwk9FoZbEhamEeYKtV3GA-fqOrzLlw-hiAlsoMuv0qsbqwFsGyfyATH6vTrsKta0Fle2mrDLFkBqjunPQFkbHwJbtPc5DGFWN1R9GNkFNCn9nwoWMefqUI7f2eT-excjWZ08Zo3K_dGTigKJUdOhHne4kyPoY6A8dd7TNg3UunZswANw32kQ=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-uuPZGZCWv5M%2FU3xZSwIhgZI%2FAAAAAAAAH5k%2FKZP2jrCsWOg%2Fs1600%2FMB%2BDOG%2BMsanii.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Bongo Movies23 May
Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.
Mnaonipa Moyo na Kunipenda kiukweli....NAWAJUA
Wakuongea Nao Ya Moyoni....NAWAJUA
Wale wa kuni baby baby on IG kumbe Hakuna lolote....NAWAJUA
Wale mnajifanya shoulders to cry on ili mpate kunijua kirahisi...NAWAJUA ila SIWEZI KUWAPA HIYO CHANCE AISEEE...I'm Soleeeeee
Wale tunaochekeana kinafki...NAWAJUA I hope MNANIJUA PIA yani TUNAJUANA
Wale Waukweli kbsa ....NAWAJUA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dFFg8vhp-wg/VFWjBf-gRzI/AAAAAAAAaGM/fKrYKYNlaMw/s72-c/IMG-20141101-WA0036.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOdf6AuNAF*Vv0Gx4p*ZPZ9yoo7srMNYd7e5-W3ye-qPh-KMgTLMG2SqGtt2ZAvXf4AbC4PlMFZya5ecIsfC*MEd/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
UCHAGUZI HUU MBONA NTAKOMA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ve0GOSCWJaiByEra7WEjUhlW20Oi91gjGqNFKG9MT8tAMlKEvVa0kgcfY4iikXTytm91L4G-Bw6b19q5PyqPpxGoIVBKk2QR/8.jpg?width=650)
KUACHANA MBONA KAWAIDA, ACHA VISASI!
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
JB:Mbona Mnanisimanga Kisa Mimi Mnene
Muigizaji na muongozaji wa filamu Jacob Stephen “JB” akionekana mwenye tabasamu pana na misosi mingi juu ya meza mbele yake, JB aliweka picha hii mtandaoni na kulalamika kuwa watu wemekuwa akimsakama sana kuwa anapenda kula kisa ndiomnana anazidi kuwa bonge. Ikionekana ni utani JB aliandika;
“Hivi jamani mbona mnanionea.kila nikiweka picha ya msosi maneno.haya jana nilikuwa nimeweka picha ya ngisi na mabilinganya na salad. bado mnasema nakula sana.sasa nitakuwa nakunywa maji tu.sili tena...
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mbona Wakenya wanamkaribisha Kenyatta 'nyumbani'?
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
JB:Mbona Mnanisimanga Kisa Mimi Ni Mnene
Muigizaji na muongozaji wa filamu Jacob Stephen “JB” akionekana mwenye tabasamu pana na misosi mingi juu ya meza mbele yake, JB aliweka picha hii mtandaoni na kulalamika kuwa watu wemekuwa akimsakama sana kuwa anapenda kula kisa ndiomnana anazidi kuwa bonge. Ikionekana ni utani JB aliandika;
“Hivi jamani mbona mnanionea.kila nikiweka picha ya msosi maneno.haya jana nilikuwa nimeweka picha ya ngisi na mabilinganya na salad. bado mnasema nakula sana.sasa nitakuwa nakunywa maji tu.sili tena...