Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAKA KAUJUMBE MBONA KANATISHA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HAKA KAUJUMBE KAMENIGUSA

"Hatukubali! ...fedha kuibwa halafu wezi wanaishia kujiuzulu tu"
Hatutakubali kula peremende. Tunataka bunge lisimamie uwajibikaji mkubwa. Haiwezekani mchezo huu wa kuiba fedha za wananchi unaendelea Tanzania halafu wezi wa fedha hizo wanaishia kujiuzulu tu..Hatukubali.
Lazima bunge lichukue uamuzi mgumu. Lazima waziri mkuu apumzike, Baraza la mawaziri livunjwe, serikali iundwe upya na isimamie jukumu la kuwapeleka mahakamani raia na viongozi wote waliohusika ama kufanikisha au kupokea mgao wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKA KAUJUMBE KAMENIGUSA WE MWENZANGU VIPI UMESALIMIKA HUKO

LIFE BEGINS AT 40! So how old are you?

Huo ni msemo wanao waingereza.
Today is your future kwa taarifa yako.. Ulipokuwa mdogo ulisema nikiwa mkubwa nitakuwa na gari na nyumba nzuri wazazi wangu wataishi hivi na vile. Je unayo? Je imetokea? Maybe yes. But maybe no.
Kama haijatokea je bado hujawa mkubwa? Basi kama ni mkubwa ujue kuna kitu hujafanya.

Utasema tena nikifika miaka 40 nataka niwe na hiki na kile watoto wangu wasome international skul nk. Subiri uone miaka inavyoenda. Usishangae...

 

9 years ago

GPL

UCHAGUZI HUU MBONA NTAKOMA!

Yaani nimekaa hapa nakumbuka wimbo wa zamani wa NUTA Jazz band, ulikuwa unasema Nimuokoe nani. Mtumbwi unazama, ndani ya mtumbwi yuko jamaa na mkewe na mtoto na baba na mama yake, uwezo wake kumuokoa mtu mmoja sasa amuokoe nani? Na ndiyo yanayonikuta.  Kisa na mkasa ni demokrasia. Shangazi kachukua fomu ya ubunge wa chama kipya hata jina sijalishika na kapitishwa agombee, baba mdogo kapitishwa agombee kwenye chama mafuriko,...

 

10 years ago

GPL

KUACHANA MBONA KAWAIDA, ACHA VISASI!

ENHEE Shosti, unaendeleaje na mishemishe za kila siku hapo ulipo? Tunakutana tena leo katika mfululizo wa mazungumzo yetu ya kimahusiano kupitia safu yetu hii murua kabisa ya mahaba. Hapo juu kichwa cha habari kinaeleweka, nimeamua kuandika mada hii kutokana na kupata meseji kutoka kwa msomaji ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini, lakini aliomba ushauri afanyeje kutokana na mwenza wake wa zamani, kujenga uadui na visasi...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Mbona Mnanisimanga Kisa Mimi Ni Mnene

Muigizaji na muongozaji wa filamu  Jacob Stephen “JB” akionekana mwenye tabasamu pana na misosi mingi juu ya meza mbele yake, JB aliweka picha hii mtandaoni na kulalamika kuwa watu wemekuwa akimsakama sana kuwa anapenda kula kisa ndiomnana anazidi kuwa bonge. Ikionekana ni utani JB aliandika;

“Hivi jamani mbona mnanionea.kila nikiweka picha ya msosi maneno.haya jana nilikuwa nimeweka picha ya ngisi na mabilinganya na salad. bado mnasema nakula sana.sasa nitakuwa nakunywa maji tu.sili tena...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Mbona Mnanisimanga Kisa Mimi Mnene

Muigizaji na muongozaji wa filamu  Jacob Stephen “JB” akionekana mwenye tabasamu pana na misosi mingi juu ya meza mbele yake, JB aliweka picha hii mtandaoni na kulalamika kuwa watu wemekuwa akimsakama sana kuwa anapenda kula kisa ndiomnana anazidi kuwa bonge. Ikionekana ni utani JB aliandika;

“Hivi jamani mbona mnanionea.kila nikiweka picha ya msosi maneno.haya jana nilikuwa nimeweka picha ya ngisi na mabilinganya na salad. bado mnasema nakula sana.sasa nitakuwa nakunywa maji tu.sili tena...

 

10 years ago

GPL

RAY C, MBONA SIFA MUHIMU HAZIMO?

REHEMA Chalamila ndilo jina lake ingawa mashabiki wengi wa muziki wa kizazi kipya wanamfahamu kama Ray C. Bongo Fleva itakuwa haimtendei haki, kama historia haitamtaja kama mmoja wa wasanii waliotoa mchango mkubwa kwenye aina hii ya muziki ambao sasa, unatamba barani Afrika. Ni miongoni mwa mabinti wa kwanza kwanza kuingia katika ‘game’ na uwezo wake mkubwa katika kucheza, hasa ile staili yake ya kuzungusha kiuno,...

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani