RAY C, MBONA SIFA MUHIMU HAZIMO?
![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k7wmgUzGHBNN7aHDqdQVS9DWO7eQT8pd7hM5u6fGnMIIxZ*ryX7rzIZOLV3Jxz4JLezbXhMIXqC-YTcnOKwm*ST/MAMAWEMA.jpg)
REHEMA Chalamila ndilo jina lake ingawa mashabiki wengi wa muziki wa kizazi kipya wanamfahamu kama Ray C. Bongo Fleva itakuwa haimtendei haki, kama historia haitamtaja kama mmoja wa wasanii waliotoa mchango mkubwa kwenye aina hii ya muziki ambao sasa, unatamba barani Afrika. Ni miongoni mwa mabinti wa kwanza kwanza kuingia katika ‘game’ na uwezo wake mkubwa katika kucheza, hasa ile staili yake ya kuzungusha kiuno,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi21 May
Mb Dog aimwagia sifa video yake ya ‘Mbona Umenuna’
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/6UZRdYT38FnVyYabE4Q5jI8tRRUjwsDiuw6uuCDzqMFrfOx_YXhOpJRl8jX9oi8JP_kkxTBXd6oVDkV3iCT0h7bRsD9yNguODN1xHugy623FPB91hdPeXzPYAjvLTdcXxD77_2SLsZaz-F_s5LJFBbT32eIdFKHWiJytcPOqBVz6dgBwk9FoZbEhamEeYKtV3GA-fqOrzLlw-hiAlsoMuv0qsbqwFsGyfyATH6vTrsKta0Fle2mrDLFkBqjunPQFkbHwJbtPc5DGFWN1R9GNkFNCn9nwoWMefqUI7f2eT-excjWZ08Zo3K_dGTigKJUdOhHne4kyPoY6A8dd7TNg3UunZswANw32kQ=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-uuPZGZCWv5M%2FU3xZSwIhgZI%2FAAAAAAAAH5k%2FKZP2jrCsWOg%2Fs1600%2FMB%2BDOG%2BMsanii.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfDAYsfoIUXX-W7sDGohtqddQZAZnWEF3DcwfYObKUwKAAA4FvAuaFSo1UhvVy-GjlFKEA1mbscgFgzLiDM2NxMm/mahaba.jpg?width=650)
SIFA 10 ZA MUHIMU ZA MPENZI MWENYE UPENDO WA DHATI
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Irene Uwoya:Siku Zote Niatamuheshimu Ray, Ni Mtu Muhimu Sana Kwangu
‘Shukrani’ ni kitu muhimu na ni jambo jema sio hapa dunia tu hata huko mbinguni (Kwa wanoamini), ni vyema kumshuru Mungu kwa kila jambo na vile vile kuwashukuru watu ambao kwa namna moja au nyingine wamekusaidia kufikia hapo ulipo.
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya amekuwa sio mchoyo wa fadhira kwa kumshukuru hadharani muongozaji na mwigizaji wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ kwa kuwa ni moja ya watu waliomsaidia katika sanaa.
Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM,...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
10 years ago
Bongo Movies14 Mar
Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.
“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..
Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.
Mzee wa...
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOdf6AuNAF*Vv0Gx4p*ZPZ9yoo7srMNYd7e5-W3ye-qPh-KMgTLMG2SqGtt2ZAvXf4AbC4PlMFZya5ecIsfC*MEd/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
UCHAGUZI HUU MBONA NTAKOMA!
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dFFg8vhp-wg/VFWjBf-gRzI/AAAAAAAAaGM/fKrYKYNlaMw/s72-c/IMG-20141101-WA0036.jpg)