Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIFA 10 ZA MUHIMU ZA MPENZI MWENYE UPENDO WA DHATI

KUJIFUNZA ndiyo mwanzo wa maarifa. Siku zote nimekuwa nikisisitiza hivyo. Ndugu zangu, marafiki ambao wameungana nami katika ukurasa huu na safu nyingine ninazoandika katika Magazeti ya Global Publishers kuhusiana na uhusiano wamevuna mengi. Fikra zao hazipo vilevile tena. Wana mabadiliko makubwa kwa sababu wamezoa maarifa ambayo yanawasaidia kufanya uamuzi sahihi kwenye uhusiano na wapenzi wao. Kama ndiyo mara ya kwanza kuanza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KISA ANAKUPENDA KWA DHATI NDIYO UMTESE MPENZI WAKO?

NDUGU zangu, mapenzi yanachukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku. Hakuna anayeweza kusimama na kusema, hataki kujihusisha nayo kwa namna yoyote, akijitokeza huyo atakuwa na matatizo ya akili. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yetu yaweze kukamilika. Bila kuwa na mtu ambaye kuna wakati unammisi, lazima utahisi kupungukiwa kitu fulani muhimu katika maisha yako. Lakini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Upendo Peneza: Binti mwenye fikra za Mandela, Biko, Nyerere, Bibi Titi

“KAMA miujiza ingekuwa jambo la hiari, ningeamua mara moja mimi niwe mwanachama wa ‘TANU Youth League,’ ili niwe miongoni mwa kina Nyerere, Sykes, Kawawa na wanasiasa wengi makini kama hao,...

 

10 years ago

GPL

RAY C, MBONA SIFA MUHIMU HAZIMO?

REHEMA Chalamila ndilo jina lake ingawa mashabiki wengi wa muziki wa kizazi kipya wanamfahamu kama Ray C. Bongo Fleva itakuwa haimtendei haki, kama historia haitamtaja kama mmoja wa wasanii waliotoa mchango mkubwa kwenye aina hii ya muziki ambao sasa, unatamba barani Afrika. Ni miongoni mwa mabinti wa kwanza kwanza kuingia katika ‘game’ na uwezo wake mkubwa katika kucheza, hasa ile staili yake ya kuzungusha kiuno,...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE WA KUMUOA HANA SIFA ZA KUWA MPENZI

YES! Ni Jumanne tena, wenye imani haba husema kwa kawaida Jumanne si siku yenye baraka kifedha! Si kweli! Mungu alipoumba mbingu na dunia aliziona siku zote saba ni njema ila matumizi yetu wanadamu ndiyo yana kasoro! Jumanne ya leo Mungu ameniwezesha kuwafikia tena, ninakuja na mada nzuri sana. Kwamba, Mwanamke wa Kumuoa Hana Sifa za Kuwa Mpenzi.Wengi wanaweza kupingana na huu utafiti wangu lakini nawaomba wasome mada hii mwanzo...

 

10 years ago

Vijimambo

Lady Jaydee ataja sifa za mpenzi mpya

Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.ILIKUWA ni wiki la kipekee kwa mwanamuziki Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ baada ya kukubali kujibu maswali ya mashabiki wake katika matandao wa Instagram, ambapo jana alifunguka kuhusu mpenzi anayemuhitaji kwa sasa.
Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.“Anayejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma...

 

10 years ago

Michuzi

CCM INA UWEZO WA KUTAFUTA MGOMBEA WA URAIS MWENYE SIFA - RAZA



  Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mohamed Raza akionesha baadhi ya vifungu vya sheria vilivyopo kwenye kitabu kidogo cha sheria za Zanzibar,Mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam. Mtangazaji wa BB Swahili nchini Tanzania,Arnold Kayanda akifanya mahojiano mafupi na Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mohamed Raza mara baada ya kuzungumza na Waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

10 years ago

GPL

HAJIBU MESEJI, HAPOKEI SIMU, MAPENZI YAMEPUNGUA, ANA SIFA ZA KUWA MPENZI WAKO? JIONGEZE!

NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha nanyi marafiki Jumamosi ya leo. Mungu ni mwema sana ndiyo maana anazidi kutubariki kila kukicha. Tunakutana tena katika darasa letu huru, tunafundishana masuala yahusuyo uhusiano wa mapenzi. Leo nimependa tujadili mada hii ambayo naamini inagusa watu wengi. Wengi wetu tunakubaliana kwamba tumekutana na jambo hili kwa nyakati tofauti.Unampigia simu mpenzi wako hapokei, meseji hajibu na wala hana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani