Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upendo Peneza: Binti mwenye fikra za Mandela, Biko, Nyerere, Bibi Titi

“KAMA miujiza ingekuwa jambo la hiari, ningeamua mara moja mimi niwe mwanachama wa ‘TANU Youth League,’ ili niwe miongoni mwa kina Nyerere, Sykes, Kawawa na wanasiasa wengi makini kama hao,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tangulia Mandela, fikra zako zitaishi kwa wanyonye

WIKI iliyopita Afrika na dunia kwa ujumla ilipokea kwa mshituko taarifa za kifo cha rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, shujaa wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi, Nelson...

 

11 years ago

GPL

SIFA 10 ZA MUHIMU ZA MPENZI MWENYE UPENDO WA DHATI

KUJIFUNZA ndiyo mwanzo wa maarifa. Siku zote nimekuwa nikisisitiza hivyo. Ndugu zangu, marafiki ambao wameungana nami katika ukurasa huu na safu nyingine ninazoandika katika Magazeti ya Global Publishers kuhusiana na uhusiano wamevuna mengi. Fikra zao hazipo vilevile tena. Wana mabadiliko makubwa kwa sababu wamezoa maarifa ambayo yanawasaidia kufanya uamuzi sahihi kwenye uhusiano na wapenzi wao. Kama ndiyo mara ya kwanza kuanza...

 

10 years ago

Mwananchi

Bibi Pelagia mwenye umri wa miaka 101

Kutokana na mfumo wa maisha tunayoishi, vyakula tunavyokula na mabadiliko ya tabia, maisha ya mwanadamu kuishi duniani ni mafupi sana ukilinganishwa na maisha ya zamani walivyoishi wazazi wetu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Siku ya Mwalimu Nyerere, Fikra Kutoka Kavazini

SIKU ya Mwalimu Nyerere imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka hapa nchini, na hata katika baadhi ya nchi Bashiru Ally

 

11 years ago

Tanzania Daima

ANNA ANDREA: Binti mwenye ndoto kisoka

KILA mtu kazaliwa na kipaji chake kinachomvutia kufanya kile anachokiona kinamfaa na sio kulazimishwa na kushinikizwa kupenda jambo ambalo hana malengo nalo. Hapa namzungumzia Anna Andrea (18), mchezaji wa mpira...

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yataka kipaumbele kumsaka binti mwenye albinism aliyetekwa

DSC_0019

Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimtambulisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) alipoitishia mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza mara baada kuhitimisha ziara zake Kanda ya ziwa. Kushoto ni Mshauri wa masuala ya haki za binadamu kutoka ofisi ya mratibu mkazi wa UN Tanzania, Bi. Chitralekha Massey.

Na Mwandishi wetu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani