DPP asubiriwa kuamua sakata la Gwajima
MAHOJIANO baina ya Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima na Jeshi la Polisi yaliyokuwa yaendelee jana jijini Dar es Salaam, yalishindwa kufanyika baada ya mawakili wa Gwajima kutaka kwanza wapewe waraka maalumu wa kutakiwa apeleke nyaraka walizomuagiza.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HCgl_Mu2Zlc/XmtNvmx335I/AAAAAAAC01I/y7NUoocNUm835sZ8-Ohv4JKgXL6htA0jwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAULI YA DPP SAKATA LA KANGI LUGOLA NA WENZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-HCgl_Mu2Zlc/XmtNvmx335I/AAAAAAAC01I/y7NUoocNUm835sZ8-Ohv4JKgXL6htA0jwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Alisema taasisi hizo mbili zina utaratibu wa kufanyakazi na kwamba hakuna jambo la kificho, kila kitu kitakapokuwa tayari umma utafahamishwa kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi habari ofisini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvuAmbhIO1dDLue4dvl2pbADM*R7Oo5CfhWhDXT-He4bR-Urxue1rDJzfcEKBHY1SGq1vau0L8HMlURVwzpZYLf4/Ngwajima.jpg?width=650)
SAKATA LA GWAJIMA, MAASKOFU WAWASHANGAA POLISI
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Sakata la Gwajima: Wafuasi wake 15 mbaroni kwa madai ya kutaka kumtorosha
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu.
Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona...
10 years ago
MichuziSAKATA LA ASKOFU GWAJIMA, MAASKOFU KUTINGA KWA IGP LEO KUMUOMBEA MSAMAHA
10 years ago
Habarileo31 Mar
Rais asubiriwa kutia saini watu kumi wanyongwe
UTEKELEZWAJI wa adhabu ya kifo kwa watu 10 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa, kutokana na kuhusika katika mauaji ya watu wenye ulemavu (albino), unasubiri saini ya Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s72-c/1.jpg)
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s1600/1.jpg)
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
WHO kuamua Ebola janga la dunia
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Mahakama kuamua pingamizi la Uamsho