Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DPP: Tunatoa haki si kuwafunga watu

KWA muda mrefu kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi kuwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) imekuwa ikifanya kazi zake kwa kutofuata weledi ndiyo maana serikali inashindwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini

XXKamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi  akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora  nchini,  leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...

 

10 years ago

Vijimambo

CCM DMV TUNATOA PONGEZI

CCM DMV TUNATOA PONGEZI KWA MWENYEKITI WATAIFA NA WAJUMBE WOTE TOKA KAMATI KUU HALMASHAURI KUU MKUTANO MKUU KWA KUTUPATIA MGOMBEA MCHAPAKAZI MAKINI AMBAYE ATAPEPERUSHA BENDERA YA CHAMA CHA, MAPINDUZI OCTOBER MWAKA HUU NA CHAMA KITAPATA USHINDI MKUBWA TUNA IMANI NAYE KUBWA MH JOHN POMBE MAGUFULI HONGERA SANA

 

10 years ago

Bongo Movies

Maoni: Tuzo za watu; Hapa Hamfanyi HAKI

Hakuna vipengele vinavyoniboa kwenye Tuzo za watu, kama hivi vya sijui mwanamuziki na muigizaji anayependwa, binafsi sioni kama kuna mantiki Hapo, yani msanii ata kama hufanyi vizuri ila kwa kuwa akina ‘matikiboko yao’ wanakupenda kule insta kwa mambo yako binafsi, na sio kazi ya msanii, basi wewe unafaa kupewa tuzo, hii inakera sana, tujifunze kutofautisha kati ya wasanii wanaofanya sanaa kama kazi na wale wanaofanya kama fashion (in Lulu's voice ) .

Ni aibu kumpambanisha Riyama Ally na...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

TUPAMBANE KUTETEA HAKI YA MKISI NA WATU WA VWAWA.

Malisa GJNaandika haya nikiwa na uchungu mwingi nafsini. Kuna mambo yanayofanywa na serikali ya CCM yanatia hasira, yanaudhi, yanakatisha tamaa. Naomba nitumie fursa hii kumshauri Rais Magufuli kuwa akiendelea kukaa kimya kwenye mambo haya wananchi watapoteza hata ile imani kidogo waliyoanza kuionesha kwake.Vitendo vya ukiukwaji wa wazi wa demokrasia ktk chaguzi mbalimbali ni mambo ya kawaida

 

11 years ago

Michuzi

Rasilimali watu na Haki ya Kuzaliwa Tanzania…..Part I

Katika karne iliyopita, wasomi mbali mbali wakiwepo wanauchumi, pamoja na wataalamu wa maswala ya kijamii waligundua umuhimu wa rasilimali watu katika kukua kwa uchumi wa dunia. Kuwepo kwa elimu bora, na ujuzi katika nafsi ya binadamu huwasaidia watu kujitengenezea vipato vikubwa. Tanzania inahitaji idadi kubwa ya rasilimali watu ili iweze kupiga hatua kubwa za kiuchumi.
Kuwepo kwa mali asili kama madini, mafuta na gesi asilia kwa kiwango kikubwa imekuwa laana kwa mataifa kwani yamekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wanao uwezo kuwafunga Al Ahly

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya soka ya kimataifa, Yanga, kesho watawakaribisha mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Ahly ya Misri. Yanga watawakaribisha mabingwa hao mara nane wa...

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA TUNATOA DAMU BURE KWA WOTE WENYE UHITAJI -DKT.MGASA


Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dkt. Avelina Mgasa.

……………………………………………………………………………………………………

MPANGO wa Taifa wa Damu Salama ulio chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto umetoa rai kwa Wananchi kutoa taarifa kwa wanaouza damu ili wachukuliwe hatua kali za kisheria kwani damu inatolewa bure kwa wahitaji.

Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dk. Avelina Mgasa wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama

“Pale haki inaponyimwa, pale umaskini unapoimarishwa, siyo watu, wala mali watakuwa salama”

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa: Msitake sheria za kuwafunga jela waandishi tu

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameitaka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuzungumza na wadau wake na kuchukua maoni yao ili muswada wa sheria mpya wa vyombo vya habari usaidie kutatua mgogoro baina yake na vyombo vya habari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani