DPP: Tunatoa haki si kuwafunga watu
KWA muda mrefu kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi kuwa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) imekuwa ikifanya kazi zake kwa kutofuata weledi ndiyo maana serikali inashindwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora nchini, leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6rQQxuMFuZ0/VaI9GqNPwKI/AAAAAAABRjk/Nerkdx0-Ckk/s72-c/CJtKz-nUsAEsr4P.png)
CCM DMV TUNATOA PONGEZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6rQQxuMFuZ0/VaI9GqNPwKI/AAAAAAABRjk/Nerkdx0-Ckk/s640/CJtKz-nUsAEsr4P.png)
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Maoni: Tuzo za watu; Hapa Hamfanyi HAKI
Hakuna vipengele vinavyoniboa kwenye Tuzo za watu, kama hivi vya sijui mwanamuziki na muigizaji anayependwa, binafsi sioni kama kuna mantiki Hapo, yani msanii ata kama hufanyi vizuri ila kwa kuwa akina ‘matikiboko yao’ wanakupenda kule insta kwa mambo yako binafsi, na sio kazi ya msanii, basi wewe unafaa kupewa tuzo, hii inakera sana, tujifunze kutofautisha kati ya wasanii wanaofanya sanaa kama kazi na wale wanaofanya kama fashion (in Lulu's voice ) .
Ni aibu kumpambanisha Riyama Ally na...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-2F0vi222xAI/VncqflSW43I/AAAAAAAAXgE/L8fdSPntOok/s72-c/69043_946910252067334_7381584738559655878_n.jpg)
TUPAMBANE KUTETEA HAKI YA MKISI NA WATU WA VWAWA.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ccHhAIuFkpM/Uz45Mftr1_I/AAAAAAACeIU/ghdSfGLTqxM/s72-c/Tribute.jpg)
Rasilimali watu na Haki ya Kuzaliwa Tanzania…..Part I
![](http://1.bp.blogspot.com/-ccHhAIuFkpM/Uz45Mftr1_I/AAAAAAACeIU/ghdSfGLTqxM/s1600/Tribute.jpg)
Kuwepo kwa mali asili kama madini, mafuta na gesi asilia kwa kiwango kikubwa imekuwa laana kwa mataifa kwani yamekuwa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Yanga wanao uwezo kuwafunga Al Ahly
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya soka ya kimataifa, Yanga, kesho watawakaribisha mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Ahly ya Misri. Yanga watawakaribisha mabingwa hao mara nane wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EmV-3jd_aaw/XtZisd26_rI/AAAAAAALsVw/YE53dENvp3sU0iau4bNKj9h_tyoLmsDuwCLcBGAsYHQ/s72-c/a883580d-89f9-4a75-9558-9e46f4dd0fa9-768x576.jpg)
TANZANIA TUNATOA DAMU BURE KWA WOTE WENYE UHITAJI -DKT.MGASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EmV-3jd_aaw/XtZisd26_rI/AAAAAAALsVw/YE53dENvp3sU0iau4bNKj9h_tyoLmsDuwCLcBGAsYHQ/s640/a883580d-89f9-4a75-9558-9e46f4dd0fa9-768x576.jpg)
Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dkt. Avelina Mgasa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c15e0ebc-398c-430b-bd64-18c13f599003.jpg)
……………………………………………………………………………………………………
MPANGO wa Taifa wa Damu Salama ulio chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto umetoa rai kwa Wananchi kutoa taarifa kwa wanaouza damu ili wachukuliwe hatua kali za kisheria kwani damu inatolewa bure kwa wahitaji.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dk. Avelina Mgasa wakati...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Lowassa: Msitake sheria za kuwafunga jela waandishi tu