Yanga wanao uwezo kuwafunga Al Ahly
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya soka ya kimataifa, Yanga, kesho watawakaribisha mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Ahly ya Misri. Yanga watawakaribisha mabingwa hao mara nane wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWANANCHI HAWAONI KAMA WANAO UWEZO WA KUISHAWISHI SERIKALI
2 Septemba, 2014, Dar es Salaam: Wananchi walio wengi (70%) wanaripoti kuwa sauti zao hazisikiki katika maamuzi ya Serikali. Pamoja na haya, wananchi saba kati ya kumi (71%) wanaripoti kuwa, kwa maoni yao, upigaji kura ndio njia pekee ya kuleta ushawishi kwa Serikali. Kimsingi, haya yanaonesha hisia zilizofanana – kwamba mbali na uchaguzi unaofanywa wakati wa kupiga kura – wananchi wengi hawana ushawishi kwenye...
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Yanga kupepetana na Al-Ahly
Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtcX-rHWIQGp1oZBYY8TKRD74Ke4MY6RA8qxs7m5979PIgM2-de9ic5R4naDGiHGoYFQuQ*ahlhgXS1MQdH7wKA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly
Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0
Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Kocha Al Ahly aichambua Yanga
Kocha Msaidizi wa Al Ahly, Ahmed Ayoub ameichambua Yanga kwa kusema ni timu bora katika kushambulia, lakini si nzuri kwenye safu ya ulinzi.
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Ahly: Kuitoa Yanga ni bahati tu
Kocha wa Al Ahly, Mohamed Youssef amesifu umakini na nidhamu ya hali juu ya mchezo ilioonyeshwa na wachezaji wa Yanga na kusema ushindi wa timu yake ulikuwa wa ‘ngekewa’ na si uwezo wa uwanjani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2poO*pOjb6*nPJ4LRHMe59dKChy6381NftZ*H9*S7hsG2dBgrb1ZElki5u7mR3f*C4u6b7GDQMqMvp2WejHGBHF4/IMG_4711.jpg?width=650)
Yanga SC yailipa Al Ahly Sh milioni 16
Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa soka Tanzania, Yanga wamelazimika kumwaga kitita cha dola 10,000 (zaidi ya Sh milioni 16) kuwapa Al Ahly kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Jumamosi. Timu hizo zitapambana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na tayari mabingwa hao wa Afrika wametua nchini, tayari kupambana na mabingwa hao wa Tanzania waliopania kuuangusha mbuyu huo. Habari za uhakika kutoka ndani ya...
11 years ago
TheCitizen21 Feb
Bring on Al Ahly, says Yanga coach
>Young Africans head coach Hans Van Pluijm insists the Mainland champions have no reason to fear Al Ahly as they prepare to face the African Champions League titleholders in the first round next weekend.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania