Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rasilimali watu na Haki ya Kuzaliwa Tanzania…..Part I

Katika karne iliyopita, wasomi mbali mbali wakiwepo wanauchumi, pamoja na wataalamu wa maswala ya kijamii waligundua umuhimu wa rasilimali watu katika kukua kwa uchumi wa dunia. Kuwepo kwa elimu bora, na ujuzi katika nafsi ya binadamu huwasaidia watu kujitengenezea vipato vikubwa. Tanzania inahitaji idadi kubwa ya rasilimali watu ili iweze kupiga hatua kubwa za kiuchumi.
Kuwepo kwa mali asili kama madini, mafuta na gesi asilia kwa kiwango kikubwa imekuwa laana kwa mataifa kwani yamekuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAANDALIWA FUTARI NA IDARA YA RASILIMALI WATU YA KAMPUNI HIYO

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Idara ya rasilimali watu ya kampuni hiyo  kwa ajiri ya wafanyakazi wake  ikiwa ni sehemu ya  muendelezo wa mfungo wa mwezi  mtukufu wa ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika makao Makuu Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa…

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini

XXKamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi  akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora  nchini,  leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwajage: Rasilimali watu kikwazo

HALMASHAURI za wilaya  nchini zimekuwa zikikwama kufikia malengo kutokana na kuwepo kwa utendaji usioridhisha. Akiuliza swali Bungeni, mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage (CCM), alisema moja ya mapungufu yaliyopo katika...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YAKUTANA NA MAAFISA RASILIMALI WATU WA TAASISI ZA KIFEDHA

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF,  Cresentius Magori akifafanua jambo kwa washiriki wa kongamano la Maofisa Rasilimali watu wa Taasisi za Kifedha lililofanyika Morogoro Hotel. Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Maoafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi za Kifedha wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa kongamano hilo.
Mgeni Rasmi, Mkurugenzi wa Rasilimali watu  NSSF ,Chiku Matessa akizungumza na maafisa Rasilmali watu wa mabenki na taasisi mbali mbali za kifedha wakati wa uzinduzi...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA WIKI YA RASILIMALI WATU KWA WAFANYAKAZI WAKE

Mkurugenzi Mkuu wa Airtel  Tanzania Bwn Sunil Colaso akiongea na wafanyazi wakati wa uzinduzi wa wiki ya Rasimali watu uliofanyika katika Ofisi za makao makuu ya  Airtel ambapo wafanyakazi watapata fulsa ya kupata elimu juu ya sera kuhusu mafao mbalimbali na haki yao za kimsingi  na huduma nyinginezo zinazotolewa na kusimamiwa na kitengo cha Rasilimali  watu, hafla ya uzinduzi huo imefanyika katika ofisi za Airtel...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YADHAMINI NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA CHAMA CHA MAAFISA RASILIMALI WATU

Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigo akitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja na Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi mbalimbali lililofanyika kwenye Hotel ya Double Tree Hilton jijini Dar es Salaam.Meneja Mafao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), James Oigo akitoa mada wakati wa kongamano la HRSTA Panorama lililowashirikisha Wakurugenzi, Mameneja na Maafisa Rasilimali Watu kutoka taasisi...

 

11 years ago

Michuzi

john mashaka ajitosa mjadala wa uraia pacha: Haki Ya Kuzaliwa Ya Watanzania Ughaibuni

Taifa letu likiwa katika mpito na wakati mgumu wa kuandika rasimu ya katiba mpya ya watanzania, hatuna budi kuweka kando itikadi zetu za kisiasa, tofauti za kiimani na hata maslahi binafsi ili tuungane katika kutafuta katiba itakayokidhi mahitaji yetu ya sasa na ya vizazi vijavyo. Katika mchakato huu, inatubidi tuwe makini na wakweli katika kujadili hatma na haki ya kuzaliwa ya ndugu zetu ambao wanaishi ughaibuni.  Lazima tuwajumuishe na kuwapa haki zao za msingi; haki ya kuzaliwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani