Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dr Amos Adam wa FIFA kuchunguzwa

Mjumbe wa kamati kuu ya Shirikisho la Soka la FIFA kutoka Nigeria Dr Amos Adam yupo chini ya uchunguz dhidi ya kashfa ya ufisadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Suarez kuchunguzwa na FIFA

Shirikisho la FIFA limeanzisha uchunguzi kwa madai kuwa Suarez alimng'ata mchezaji wa Italia Chiellini

 

9 years ago

Raia Mwema

Mawaziri kuchunguzwa

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wadai kuchunguzwa Uganda

Rais Yoweri Museveni amelalamikiwa na baadhi ya wapinzani kuwa anawachunguza kwa maslahi yake binafsi

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook kuchunguzwa kuhusu utafiti

Tume inayodhibiti taarifa za umma Uingereza inachunguza iwapo Facebook ilivunja kanuni zinazolinda data ya watu binafsi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanandoa wa Canada kuchunguzwa China

Mamlaka za China zimewatuhumu wana ndoa raia wa Canada wanaofanya biashara ya mgahawa nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius kuchunguzwa kiakili

Jaji katika kesi ya Oscar Pistorius, ameamuru mwanariadha huyo apelekwe katika kituo cha afya kufanyiwa uchunguzi wa kiakili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Barua pepe za Clinton kuchunguzwa

Maefu ya kurasa za barua pepe binafsi za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton zinachunguzwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto ataka TBC kuchunguzwa

>Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto amependekeza kufanyika uchunguzi wa kiufundi ili kubaini sababu za kukatika kwa matangazo ya moja kwa moja ya kituo cha televisheni cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati Bunge la Katiba likiendelea juzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanyanyasaji kuchunguzwa Kenya

Polisi nchini Kenya wameanzisha uchunguzi wa picha zilizowekwa katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha maafisa wa polisi wakiwachapa viboko raia wa Somalia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani