Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Droo kupanga mechi kombe la FA yafanyika

Droo ya kupanga mechi za raundi ya 4 ya Kombe la FA imefanyika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

3 wakamatwa kwa kupanga mechi Uingereza

Watu 3 wanazuiliwa na polisi nchini Uingereza baada ya aliyekuwa mchezaji wa Portsmouth Sam Sodje kufichua kuwa alihusika katika kupanga mechi za ligi

 

11 years ago

BBCSwahili

Cameroon yadaiwa kupanga mechi Brazil

Maafisa wa Cameroon watapelelezwa kufuatia madai wachezaji 7 wa timu ya taifa hilo walihusika katika kupanga mechi nchini Brazil.

 

9 years ago

Michuzi

DROO YA PILI YA AIRTEL MKWANJIKA PROMOSHENI YAFANYIKA

 Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (wa pili kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuendesha droo ya pili ya promosheni ya Airtel Mkawnjika ambapo washindi 28 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Akishuhudia ni balozi wa Airtel Mkwanjika na mtangazaji wa kipindi cha planet Bongo cha EATV Abdallah  Hamisi Ambua  (kushoto) akifuatiwa na  msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini , Mrisho Milao (wa pili kulia) na Afisa Masoko wa Airtel...

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya tatu ya promosheni ya “Jaza Mafuta na Ushinde” ya GAPCO yafanyika jijini Dar

Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Jane Mwita (kati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya “Jaza Mafuta na Ushinde” inayoendeshwa na Kampuni hiyo kwa Wateja wake wa jijini Dar es Salaam,ambapo zaidi ya wateja 25 huibuka kidedea kila wiki. Kulia anaeshuhudia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Chiku Saleh na Kushoto ni Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi.


 

11 years ago

GPL

DROO NDOGO YA PILI PROMOSHENI YA SHINDA MAHELA YAFANYIKA MABIBO JIJINI DAR

Kijana aliyejitokeza kuchanganya kuponi kwa ajili ya mshindi wa TV na Decoder akichanganya kuponi kabla ya kumpata mshindi. ...Kijana huyo akifunikwa macho ili achague kuponi ya mshindi.…

 

9 years ago

Michuzi

Droo ya nne ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO yafanyika jijini Dar es Salaam

Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi (katikati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya nne ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayowawezesha wateja wake kujipatia lita 40 za mafuta kwa kila mshindi wa droo hiyo kila wiki. Kulia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Bakari Maggid, na kushoto ni Meneja wa Fedha wa Kampuni ya mafuta ya GAPCO Tanzania, Michael Chobu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA yafanyika, listi kamili hii hapa

IMG_20151214_145227

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), imefanyika katika makao makuu ya Chama cha soka Ulaya Nyon, Switzerland na mtandao wako bora wa habari, Dewjiblog.com umekuandalia listi kamili ya michezo ambayo imepangwa katika droo hiyo;

Gent – Wolfsburg

AS Roma – Real Madrid

Paris Saint-German – Chelsea

Arsenal – Barcelona

Juventus – Bayern Munich

PSV – Atletico Madrid

Benfica – Zenit

Dynamo Kyiv – Manchester City

Baada ya kufanyika kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Droo ya kombe la Afrika kufanyika leo

Zambia na waandalizi wa kombe la bara Afrika Equitorial Guinea ni miongoni mwa timu zitakazoorodheshwa katika droo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo

uefa euro 2016

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;

GROUP A;

Ufaransa

Romania

Albania

Switzerland

GROUP B;

Uingereza

Urusi

Wales

Slovakia

GROUP C;

Ujerumani

Ukraine

Poland

Northern Ireland

GROUP D;

Hispania

Jamhuri ya Czech

Uturuki

Croatia

GROUP E;

Belgium

Italia

Jamhuri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani