Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Du! Haijawahi tokea duniani

Hii kali, hicho ndicho unachoweza kusema wakati mashabiki wa Yanga walipoamua kuishangilia Azam ikiifunga Yanga mabao 2-1 na kuizima ndoto ya Simba kucheza mashindano ya Afrika mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAGUFULI AITIKISA MWANZA, HAIJAWAHI TOKEA!

Njemba mmoja akipiga push up wakati msafara wa Dk Magufuli ukipita. Dada akimfagilia njia Magufuli Afande akimtoa barabarani mdada aliyekuwa akifagia barabara ili Magufuli apite pakiwa safi.…

 

10 years ago

GPL

CCM HAIJAWAHI KUTOKEA!

Mwandishi Wetu
NIJohn Pombe Joseph Magufuli ambaye amepita kwa kishindo na ‘usimpimie’ kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan, lakini yaliyojiri katika mchakato wa kumpata mgombea huyo, hayajawahi kutokea, Ijumaa Wikienda limechimba na kuchimbua. Mh.John Pombe Joseph Magufuli akiwashukuru wajumbe baada ya kumteua kuwa mgombea wa CCM. Sarakasi zilikuwa...

 

10 years ago

GPL

HAIJAWAHI KUTOKEA, MAPACHA 5 WAZALIWA MAREKANI

Bi. Danielle Busby akifurahi kuwaona wanawe baada ya kujifungua mapacha watano wote wakiwa hai. Wakunga wakiwatazama watoto waliozaliwa.…

 

11 years ago

Mwananchi

Hati ya Muungano haijawahi kuiondoa Tanganyika

Wajumbe waliowachache wa Bunge la Katiba jana waliendelea kuitetea iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Jaji Joseph Warioba kuwa haijavunja hati ya Muungano na kueleza, hati hiyo haijaifuta Serikali ya Tanganyika na hakuna kifungu ambacho kinapendekeza Muundo wa Serikali mbili.

 

10 years ago

Habarileo

Shule ya msingi haijawahi kufelisha tangu ianzishwe

SHULE ya Msingi ya Southern Highlands iliyopo mjini Mafinga, mkoani Iringa imesema tangu kuanzishwa kwake miaka 13 iliyopita hakuna mwanafunzi aliyewahi kufeli mtihani wa darasa la saba.

 

10 years ago

Habarileo

‘CCM haijawahi kupata Katibu Mkuu kama Kinana’

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akishiriki kupaka rangi jengo jipya la hospitali ya wilaya ya Monduli kwa kushirikiana Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa jana wakati wa ziara ya siku tisa ya katibu huyo mkoani Arusha. (Na Adam Mzee).ALIYEKUWA Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), hakijawahi kupata Katibu Mkuu hodari na mchapakazi wa mfano wa Abdulrahman Kinana, tangu kuanzishwa kwake.

 

10 years ago

Vijimambo

KUTOKA KITAA HUKU NDIYO TULIKO TOKEA


Najua ungetamani kuingia ndani ya kichwa cha huyu first lady wa siku zijazo lakini ujumbe uliopo juu yake ni changanuo tosha wa kile kilicho mawazoni mwake.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mapokezi, mkutano wa Dkt. Magufuli haijapata tokea Mwanza

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi alipokuwa akiwasili kwenye mkutano wa kampeni katika viwanja vya Furahisha, jijini Mwanza.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

 Bendera za CCM zikiwa zimepamba msafara wa Dkt. Magufuli kutoka Uwanja wa Ndege hadi jijijini Mwanza.

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi alipokuwa akiwaaga baada ya mkutano wa kampeni kumalizika katika viwanja vya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa Pensheni wa PSPF watimiza miaka 15 tokea kuanzishwa kwake

Mkurugenzi wa Idara ya Habari- Maelezo, Bw Assah Mwambene akizungumza jambo wakati wa mkutano wa waandishi wa habari na Viongozi wa Mfuko wa Hifadhi wa Pensheni wa PSPF mapema leo katika Ukumbi wa JB Belmonte, Jijini Dar Es Salaam.

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa pensheni wa PSPF, Bw Adam Mayingu akizungumzia mafanikio ya mfuko wa PSPF katika kipindi cha Miaka 15 tokea kuanzishwa kwake katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo katika Ukumbi wa JB Belmonte Jijini Dar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani