Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA KITAA HUKU NDIYO TULIKO TOKEA


Najua ungetamani kuingia ndani ya kichwa cha huyu first lady wa siku zijazo lakini ujumbe uliopo juu yake ni changanuo tosha wa kile kilicho mawazoni mwake.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

viwalo vipya vya Michuzi Media Group kutoka kitaa wear

 Baada ya kuvutiwa na ubunifu wa wajasiriamali vijana wa Kitanzania wanaokwenda kwa jina la KITAA WEAR Michuzi Media  Group chini ya Ankal imeona ni vyema kuwaunga mkono kwa kuweka oda kubwa ya T-shirts kwa ajili ya timu yake pamoja na wadau wa Globu ya Jamii na Michuzi TV. Wadau wengi wanavaa Kitaa Wear wakiwemo Diamond, Fid Q na mastaa wengine kibao. Kama umependezwa angalia maelezo hapo chini. Jamaa wako sharp na very professional. Siku nne tu mzigo tayari... KAZI KWAKO!
KITAA WEAR In...

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA SC YAINGIA KAMBINI ZANZIBAR HUKU IKIMTEMA MSHAMBULIAJI WAKE KUTOKA GAMBIA


KLABU  ya Simba imeingia kambini leo Zanzibar huku ikimtema mshambuliaji wake raia wa Gambia Omar Mboob.
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally alidhibitisha kuwa mchezaji huyo ameenguliwa kwenye kikosi cha Simba kwa vile ameshindwa kuonyesha kiwango cha kumshawishi kocha Patrick Phiri ili aweze kusajiliwa.
"Mboob kwa sasa tunamfanyia taratibu ili aweze kurudi nchini kwao, kesho (leo) au kesho kutwa ataondoka, ameshindwa kuonyesha makali."alisema
Wakati Ally akisema hayo, Mwenyekiti wa kamati...

 

10 years ago

Vijimambo

KIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI

Kijana sebastin akotwa maeneo ya kanisa la roma katoliki mjini kahama huku hakiwa awenzi kuongea jina lake vizuri huku kwenye mkono wake likiwa limeandikwa jina lake .Afisa maendeleo wa mji wa kahama Neema lujumba akiwa na kijana huyo baada ya kufikishwa ofisi ya mtendaji wa kata ya nyasubi kwa mahojiano zaidikijana sebastin akiwa na ofisa maendeleo Neema lujumba kwenye ofisi ya mkurungezi wa halmashauri ya mji wa kahama.kwa mujibu wa afisa maendeleo huyo alisema kuwa mtoto huyu aliokotwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

KUTOKA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO HII NDIYO YANGA 2 MTIBWA 0


Baada ya kuvunja uteja kwa watani wao wa jadi Simba Taifa sasa waendeleza kuvunja uteja ndani ya uwanja wa jamhuri wakiwazamisha walima miwa wa mashamba ya mtibwa kwa bao 2 bila majibu. Mtibwa wapisha njia wenyewe kwa kulala na kipigo sawa na walichopewa Simba jumamosi iliyopita.Yanga sasa mambo mbele kwa mbele wazidi kuwa watamu uwanjani.

 

10 years ago

Michuzi

TUKINGOJEA MATOKEO YA KURA ...NA HUKU TUNAPATA BURUDANI YA MUZIKI NYIMBO ZA KUMUGA RAIS JAKAYA KIKWETE KUTOKA KWAO NGOMA AFRICA

Wakati wananchi tukiendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa awamu ya tano, ni vema basi kujikumbusha yale ambayo yaliyofanyika katika serikali ya hawamu ya nne ya Rais anayemaliza muda Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Kwa kupitia njia ya muziki bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni chini ya uongozi wake mtunzi gwiji kamanda Ras Makunja wameshusha nyimbo mbili za kumuaga Rais Jakaya KIkwete na kuyaimba...

 

11 years ago

Vijimambo

BIRTHDAY GIRL WEMA HII NDIYO ZAWADI YAKE KUTOKA KWA MR PLATNUMZ


Jitiririshe na surprise gift ya birthday ya Wema na utakubari mapenzi yao na Diamond ni Special given. Habari ndiyo hiii mambo mengine mwachie baba na mama na movie hii siyo ya leo wala kesho.

 

10 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Usalama na kujipenda wewe na nchi yako- ndiyo siri ya nguvu zako Mtanzania

>Manu Chao ndiyo nani?Manu Chao aliyeushtua ulimwengu miaka 15 iliyopita na vibao vyake vya Reggae vinavyotetea maskini, wakimbizi na walala hoi.

 

10 years ago

Mwananchi

Du! Haijawahi tokea duniani

Hii kali, hicho ndicho unachoweza kusema wakati mashabiki wa Yanga walipoamua kuishangilia Azam ikiifunga Yanga mabao 2-1 na kuizima ndoto ya Simba kucheza mashindano ya Afrika mwakani.

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani