Dubai kuwekeza mawasiliano Zanzibar
KAMPUNI ya mkonga wa mawasiliano ya Aksh Opti Fibre yenye makao makuu yake nchini Dubai, imetangaza dhamira ya kusaidia kuanzisha vituo maalum vitakavyotoa taaluma ya masuala ya mitandao ya mawasiliano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gUZqBZ9-Kpk/Xl1lxRuskfI/AAAAAAALgeQ/pmSkmuDTzcIrc3ttBUarqR-r-B-SP_cfACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC7104AA-768x426.jpg)
RAIS SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR. IKULU JIJINI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-gUZqBZ9-Kpk/Xl1lxRuskfI/AAAAAAALgeQ/pmSkmuDTzcIrc3ttBUarqR-r-B-SP_cfACLcBGAsYHQ/s640/DSC7104AA-768x426.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC7110AA-1024x567.jpg)
RAIS wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein , akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, wakati wa kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara hiyo kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 , mkutano uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais)...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
HUAWEI kuwekeza umeme jua Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo na Ujumbe wa Kampuni ya Huawei mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika kwenye Ofisi yake iliyopo Bungeni Mjini Dodoma.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).
Kampuni ya Mitandao ya Teknolojia ya Kisasa ya Nchini Jamuhuri ya Watu wa China ya Huawei inayoendesha na kusimamia mradi wa Umeme unaotumia jua (Solar Power Solution) imeonyesha nia ya kutaka kuwekeza mradi wa umeme unaotumia jua Visiwani Zanzibar kwa...
9 years ago
TheCitizen27 Dec
Maia shines in Dubai’s competition
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Tigo kuwekeza dola milioni 1 kupanua huduma zake Zanzibar
Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano.
Tigo Tanzania imepanga mwaka huu kujenga minara 10 mipya ya simu yenye thamani ya dola milioni moja (1) katika visiwa vya Zanzibar kama moja ya mikakati yake ya upanuzi wa huduma zake nchini.
Hii ilitangazwa leo na Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano wakati alipotembelea Zanzibar kwa mara ya kwanza kukutana na wadau wa kampuni kisiwani hapo.
Bi. Tiano alisema kwamba minara hii mipya 10 ni uwekezaji mkubwa ambao kampuni hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-m8ESiJZkRzE/U-z6psGmzNI/AAAAAAAF_sc/A3c_YwbWXI4/s72-c/434.jpg)
Kamouni ya Huawei yaonesha nia kuwekeza mradi wa umeme jua zanzibar
11 years ago
Habarileo31 Mar
Muungano umenufaisha Zanzibar umeme, mawasiliano
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema Zanzibar inanufaika na fursa za muungano zinazopatikana kwa kutumia huduma za nishati ya umeme na mawasiliano. Dk Shein alisema hayo kwenye Kijiji cha Ukunjwi katika Jimbo la Gando Wete, Pemba wakati alipozindua huduma za umeme kwa wananchi wa kijiji hicho.
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Mawasiliano mapya kuunganisha Dar, Zanzibar
SERIKALI imezindua mradi wa njia mpya ya mawasiliano unaounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine. Hatua hiyo sasa inafanya Zanzibar kuimarika kimawasiliano hasa...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Njia mpya ya mawasiliano Dar-Zanzibar yazinduliwa
SERIKALI imezindua njia mpya ya mawasiliano inayounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine.
5 years ago
MichuziRAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR