Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawasiliano mapya kuunganisha Dar, Zanzibar

SERIKALI imezindua mradi wa njia mpya ya mawasiliano unaounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine. Hatua hiyo sasa inafanya Zanzibar kuimarika kimawasiliano hasa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

NSSF kuunganisha Dar — Zanzibar kwa daraja

BAADA ya ndoto ya kuziunganisha pande mbili za katikati ya Jiji la Dar es Salaam na Kigamboni kwa daraja lenye umbali wa meta 680, Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linaangalia uwezekano wa kujenga daraja la kihistoria zaidi litakalounganisha Dar es Salaam na Zanzibar.

 

11 years ago

Habarileo

Njia mpya ya mawasiliano Dar-Zanzibar yazinduliwa

Profesa Makame MbarawaSERIKALI imezindua njia mpya ya mawasiliano inayounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR. IKULU JIJINI ZANZIBAR




RAIS wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein , akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, wakati wa kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara hiyo kwa  mwezi wa Julai  hadi Disemba 2019 , mkutano uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais)...

 

10 years ago

Habarileo

Zanzibar yaongeza majimbo mapya 4

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salum TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza majina ya majimbo ya uchaguzi na mipaka huku ikiongeza idadi ya majimbo mapya manne.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dubai kuwekeza mawasiliano Zanzibar

KAMPUNI ya mkonga wa mawasiliano ya Aksh Opti Fibre yenye makao makuu yake nchini Dubai, imetangaza dhamira ya kusaidia kuanzisha vituo maalum vitakavyotoa taaluma ya masuala ya mitandao ya mawasiliano...

 

11 years ago

Habarileo

Muungano umenufaisha Zanzibar umeme, mawasiliano

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema Zanzibar inanufaika na fursa za muungano zinazopatikana kwa kutumia huduma za nishati ya umeme na mawasiliano. Dk Shein alisema hayo kwenye Kijiji cha Ukunjwi katika Jimbo la Gando Wete, Pemba wakati alipozindua huduma za umeme kwa wananchi wa kijiji hicho.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR

 RAIS wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein , akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, wakati wa kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara hiyo kwa  mwezi wa Julai  hadi Disemba 2019 , mkutano uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi. Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na Waziri wa Ujenzi  Mawasiliano na Usafirishaji Mhe. Dr. Sira...

 

11 years ago

GPL

MADARAJA MAPYA JIJINI DAR

   Daraja la Morocco jijini Dar.
    Muonekano wa Daraja la Morocco –Dar.
    Daraja la Ubungo.…

 

11 years ago

Michuzi

BODI YA KUCHUNGUZA AJALI YA MV KILIMANJARO 2 YAKABIDHI RIPOTI KWA WAZIRI WA MIUNDOMBINU NA MAWASILIANO ZANZIBAR

Na Nafisa M. Ali  Bodi ya kuchunguza ajali ya Meli ya MV. Kilimanjaro 2 leo imekabidhi rasmi Ripoti ya ajali hiyo baada ya kumaliza kazi hiyo kwa Waziri wa Miundo mbinu na Mawasiliano Rashid Seif Suleiman Ofisini kwake Kisauni nje kidogo ya mji wa Zanzibar.  Akikabidhi Ripoti hiyo Mwenyekiti wa Bodi hiyo Khamis Ramadhan Abdallah amesema kazi hiyo waliyopewa wameweza kuimaliza kwa mujibu wa siku walizopewa na walikuwa huru bila ya kuingiliwa na mkono wa Serikali wala Taasisi yoyote.  Aidha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani