Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muungano umenufaisha Zanzibar umeme, mawasiliano

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema Zanzibar inanufaika na fursa za muungano zinazopatikana kwa kutumia huduma za nishati ya umeme na mawasiliano. Dk Shein alisema hayo kwenye Kijiji cha Ukunjwi katika Jimbo la Gando Wete, Pemba wakati alipozindua huduma za umeme kwa wananchi wa kijiji hicho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Shoti ya Umeme yasababisha Kukosekana Umeme Baadhi ya Maeneo Zanzibar leo

                     Hii ndio breaker liyoungua na kusabibisha maeneo ya mjini Ubguja kukosa umeme leo


 Mafundi kutoka ZECO wakiwa katika harakati za kutengeneza panel iliyoleta hitilafu za umeme na kupelekea maeneo yote ya mji wa Unguja kukosa umeme


Baada ya kukamilika kwa matengenezo


Kuamkia alfajiri ya leo ya tarehe 17/06/2014 maeneo yate ya mji wa Unguja na maeneo jirani ya mji wa Unguja yalikumbwa na ukosefu wa umeme uliotokea kuanzia majira ya saa 11 asubuhi hadi saa 7 mchana...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR. IKULU JIJINI ZANZIBAR




RAIS wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein , akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, wakati wa kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara hiyo kwa  mwezi wa Julai  hadi Disemba 2019 , mkutano uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais)...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge ahoji mawasiliano baina ya Bunge la E.A na la Muungano

 Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita, hakukuwa na utaratibu wa kuwasiliana kati ya wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki na wale wa Jamhuri ya Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?

>Tumesikia matamshi ya mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CCM, Ally Mohammed Keissy alipochangia bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisema Zanzibar haichangii katika Muungano, hivyo haina haki ya kuhoji mambo ya upande wa pili.

 

10 years ago

GPL

PERAMIHO: USHURU WA MAZAO, KUKOSEKANA KWA MAWASILIANO YA SIMU, MAJI NA UMEME VYAWATESA WANANCHI

Peramiho ni moja kati ya majimbo saba yaliyopo kwenye Mkoa wa Ruvuma, linaloongozwa na Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama. Wiki iliyopita, Gazeti la Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo hilo ambapo mwandishi wetu alifanya mahojiano na wananchi mbalimbali walioeleza matatizo yanayowakabili na jinsi mbunge wao anavyotekeleza ahadi zake. Baada ya hapo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dubai kuwekeza mawasiliano Zanzibar

KAMPUNI ya mkonga wa mawasiliano ya Aksh Opti Fibre yenye makao makuu yake nchini Dubai, imetangaza dhamira ya kusaidia kuanzisha vituo maalum vitakavyotoa taaluma ya masuala ya mitandao ya mawasiliano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawasiliano mapya kuunganisha Dar, Zanzibar

SERIKALI imezindua mradi wa njia mpya ya mawasiliano unaounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine. Hatua hiyo sasa inafanya Zanzibar kuimarika kimawasiliano hasa...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AHUDHURIA MAZIKO YA MAREHEMU ALI SALIM HAFIDH NA AZUNGUMZA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS MUUNGANO NA MAZINGIRA IKULU ZANZIBAR.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa Msaidi wa Rais Hutuba , maziko hayo yamefanyika katika makaburi ya family Fuoni Mambosasa  Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein , (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na (kulia kwa Rais) Rais Mstaaf wa Zanzibar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani