Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Duka la Westgate kufunguliwa leo

Duka la westgate lililo mji mkuu wa Kenya Nairobi linafungua milango yake hii leo kwa umma karibu miaka miwili tangu lishambuliwe

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WESTGATE KUFUNGULIWA UPWA LEO

Jengo la Maduka ya Westgate. Jengo la maduka la westagate lililo katika Mji Mkuu wa Kenya Nairobi linafungua upya milango yake hii leo kwa umma baada ya kufungwa kwa kutumika miaka miwili tangu liliposhambuliwa na wanamgambo wa Al Shaabab Septemba 2013. Watu 67 waliuawa wakati wa makabiliano ya siku nne wakati wanamgambo hao walipovamia maduka hayo na kuwafyatulia risasi watu waliokuwemo ndani ya maduka hayo, kwaua na wengine...

 

10 years ago

BBCSwahili

Duka la Westgate lafunguliwa

Duka la Westagate lililo mji mkuu wa Kenya Nairobi hatimaye limefunguliwa miaka miwili tangu lishambuliwe na wanamgambo wa Al shabaab.

 

10 years ago

BBCSwahili

Duka la West Gate kufunguliwa

Jumba la Westgate jijini Nairobi nchini Kenya lililoshambuliwa na magaidi wa Alshabab miaka miwili iliyopita linatarajiwa kufunguliwa upya mwishoni mwa wiki hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Duka la West Gate kufunguliwa Kenya

Jumba la kibiashara la West Gate lililoko katika mji mkuu wa Kenya Nairobi linatarajiwa kufunguliwa wikendi ijayo, miaka miwili tangu wapiganaji wa Al shabaab kutoka Somalia kulivamia.

 

5 years ago

Michuzi

OPESHENI YA DUKA KWA DUKA YAANZA PWANI KUBAINI WAFICHA NA KUUZA SUKARI BEI JUU-WANKYO

NA MWAMVUA MWINYI PWANI .
JESHI la polisi mkoani Pwani limetangaza msako wa duka kwa duka ,kuwabaini wafanyabiashara ambao wameficha sukari na kuuza kwa bei isiyo elekezi ya sh .2,700 kwa kilo moja ,ambapo ni kinyume cha sheria . 
Kutokana na msako huo ulioanza mkoani hapo ,jeshi hilo ,limeshakamata jumla ya kilo 1,037 za sukari pamoja na watuhumiwa saba wanaodaiwa ni wafanyabiashara walioficha sukari hiyo. 
Akizungumzia tukio hilo ,kamanda wa polisi mkoani hapo ,Wankyo Nyigesa alieleza kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA 12 WA WAKUU WA UTUMISHI WA UMMA WA NCHI ZA AFRIKA WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA KUFUNGULIWA LEO DAR ES SALAAM

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Y. Sefue akiongoza kikao cha maandalizi ya Mkutano wa  kumi na mbili (12) wa Wakuu wa Utumishi wa Umma wa nchi za Afrika Wanachama wa Jumuiya ya Madola  utakaofunguliwa leo katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre jijini  Dar es salaam Katibu Wakuu na watendaji mbalimbali wakijadili wakati wa kikao: kushoto ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu . Dkt. Florens Turuka, akifuatiwa na Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimneti ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Westgate:Mwaka1 baadaye

Mwaka 1 tangu shambulizi la kigaidi la Westgate kutokea mjini Nairobi. Nini kimebadilika Kenya? Haya ni makala maalum ya BBC

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab walivyoshambulia Westgate

Jumomosi Septemba tarehe 21, Al Shabaab walishambulia jengo la Westgate na kusababisha vifo pamoja na uharibifu.

 

10 years ago

BBC

Westgate's unanswered questions

One year on, Kenyans await answers about the mall attack

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani