Duka la Westgate lafunguliwa
Duka la Westagate lililo mji mkuu wa Kenya Nairobi hatimaye limefunguliwa miaka miwili tangu lishambuliwe na wanamgambo wa Al shabaab.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Duka la kisasa la TIGO lafunguliwa mjini Kibaha
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Mhe.Eng Evarist Ndikilo akikata utepe kuzindua rasmi Duka Jipya la Tigo lililopo Kibaha, wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Mmiliki wa Hotel ya Njuweni Yusuph S. Mfinanga, Meneja wa ubora huduma kwa wateja wa Tigo Bi. Mwangaza Matotola, Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles na mwisho kulia ni Meneja wa Tigo tawi la Kibaha Asnat Mboya.
Meneja wa Tigo tawi la Kibaha Asnat Mboya akiwakaribisha wageni waalikwa na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa Duka...
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Duka la Westgate kufunguliwa leo
10 years ago
MichuziDUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY LAFUNGULIWA RASMI NDANI YA DAR FREE MARKET JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200429-WA0007.jpg)
OPESHENI YA DUKA KWA DUKA YAANZA PWANI KUBAINI WAFICHA NA KUUZA SUKARI BEI JUU-WANKYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GbNX3HXEubY/XqmL7-c-tpI/AAAAAAALolY/kJpwpfyGJ7U4CkfsDd51LggmlRU8bk-xACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200429-WA0007.jpg)
JESHI la polisi mkoani Pwani limetangaza msako wa duka kwa duka ,kuwabaini wafanyabiashara ambao wameficha sukari na kuuza kwa bei isiyo elekezi ya sh .2,700 kwa kilo moja ,ambapo ni kinyume cha sheria .
Kutokana na msako huo ulioanza mkoani hapo ,jeshi hilo ,limeshakamata jumla ya kilo 1,037 za sukari pamoja na watuhumiwa saba wanaodaiwa ni wafanyabiashara walioficha sukari hiyo.
Akizungumzia tukio hilo ,kamanda wa polisi mkoani hapo ,Wankyo Nyigesa alieleza kuwa...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Shindano la Nyama choma lafunguliwa
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Eneo lililoshambuliwa Bangok lafunguliwa
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Soko la hisa la Ugiriki lafunguliwa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zL4u9LxGvjs/VLelp2pbhrI/AAAAAAAG9gA/ajvyVlnBQvo/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
LIBENEKE LA MSAADA WA KISHERIA LAFUNGULIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zL4u9LxGvjs/VLelp2pbhrI/AAAAAAAG9gA/ajvyVlnBQvo/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
Wakili Emmanuel Augustino ameanza kuwafikia wahitaji wa msaada wa sheria kwa kutumia blog yake ya wakiliwangu.blogspot.com.
"Kupitia blog hii, tunatoa ushauri wa kisheria wa mambo yanayohusu mirathi, ununuzi au uuzaji wa ardhi, kesi za jinai na madai, kuanzisha kampuni na mambo mengine tofauti ya kisheria," alisema Wakili...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Daraja lililosombwa na mafuriko lafunguliwa
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, jana amefungua daraja lililosombwa na mafuriko eneo la Dumila katika mto Mkundi, mkoani Morogoro, ili kunusuru uchumi wa nchi. Akizungumza na waandishi wa habari,...