Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eneo lililoshambuliwa Bangok lafunguliwa

Eneo takatifu ambalo lilishambuliwa siku ya Jumatatu katika mji mkuu wa Thailand Bangkok limefunguliwa tena

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Duka la Westgate lafunguliwa

Duka la Westagate lililo mji mkuu wa Kenya Nairobi hatimaye limefunguliwa miaka miwili tangu lishambuliwe na wanamgambo wa Al shabaab.

 

11 years ago

Mwananchi

Shindano la Nyama choma lafunguliwa

>Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake ya Safari imetangaza rasmi uzinduzi wa shindano la uchomaji  nyama kwa mwaka huu wa 2014.

 

10 years ago

Michuzi

LIBENEKE LA MSAADA WA KISHERIA LAFUNGULIWA

Watu wenye uhitaji wa msaada wa sheria sasa wanaweza kupata huduma hiyo kwa kuingia mtandaoni baada ya wakili mmoja Jijini Dar es Salaam kuanza kutoa huduma hiyo.
Wakili Emmanuel Augustino ameanza kuwafikia wahitaji wa msaada wa sheria kwa kutumia blog yake ya wakiliwangu.blogspot.com.
"Kupitia blog hii, tunatoa ushauri wa kisheria wa mambo yanayohusu mirathi, ununuzi au uuzaji wa ardhi, kesi za jinai na madai, kuanzisha kampuni na mambo mengine tofauti ya kisheria," alisema Wakili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Soko la hisa la Ugiriki lafunguliwa

Soko la hisa nchini Ugiriki limefunguliwa muda mfupi uliopita, baada ya kufungwa kwa miezi mitano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daraja lililosombwa na mafuriko lafunguliwa

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John  Magufuli, jana amefungua daraja lililosombwa na mafuriko  eneo la Dumila katika mto Mkundi, mkoani Morogoro, ili kunusuru uchumi wa nchi. Akizungumza na waandishi wa habari,...

 

10 years ago

Mwananchi

Pazia la tuzo za Kili Music lafunguliwa

Msimu mpya wa tuzo za Kilimanjaro Music Award‘KTMA’ umezinduliwa rasmi jana utatumia sh1 bilioni hadi kukamlika kwake.

 

9 years ago

Michuzi

KONGAMANO LA KWANZA LA SERIKALI MTANDAO LAFUNGULIWA ARUSHA

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma,Bw.Hab Mkwizu akifungua Kongamano la kwanza la Serikali Mtandao jijini Arusha leo.Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha(RAS)Addoh Mapunda akizungumza kwenye ufunguzi mapema leo.Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Serikali Mtandao,Dk Jabiri Bakari akizungumza kwenye kongamano la siku tatu jijini Arusha ambalo limewakusanya maafisa zaidi ya 600 kujadili mikakati ya kuongeza matumizi ya mtandao katika shughuli za kila siku.

Wajumbe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Duka la kisasa la TIGO lafunguliwa mjini Kibaha

kbh6

Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Mhe.Eng Evarist Ndikilo akikata utepe kuzindua rasmi Duka Jipya la Tigo lililopo Kibaha, wanaoshuhudia  kutoka kushoto ni Mmiliki wa Hotel ya Njuweni Yusuph S. Mfinanga, Meneja wa ubora huduma kwa wateja wa Tigo Bi. Mwangaza Matotola, Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani Goodluck Charles na mwisho kulia ni Meneja wa Tigo tawi la Kibaha Asnat Mboya.

kbh10

Meneja wa Tigo tawi la Kibaha Asnat Mboya akiwakaribisha wageni waalikwa na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa Duka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani