Dully: Sijapigiwa simu na promota
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’, amesema ni miaka miwili sasa hajapigiwa simu na promota yeyote nchini kwa ajili ya kufanya shoo. Dully alisema hayo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo525 Aug
Dully Sykes: Promota anayetaka kunipandisha ndege lazima tuandikishane kwenye bima ya maisha
10 years ago
Michuzi29 Sep
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Promota wa Diamond mbaroni
Na Mwandishi wetu
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumkamata Promota mwenye asili ya nchi ya Nigeria ambaye ndiye aliyesababisha fujo katika onyesho la msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ zilizotokea Agosti 30 mwaka huu kwenye ukumbi wa Stuttgart nchini Ujerumani .
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka nchini Ujerumani kilisema kwamba Jeshi la Polisi nchini humo kilisema hadi kieleweke kwani watamchukulia hatua kali ili iwe fundisho kwa mapromota kama huyo.
Jumamosi...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Promota wa Diamond mbaroni Ujerumani
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumtia mbaroni promota Awin Williams Akpomie, aliyeratibu shoo ya mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ iliyokuwa ifanyike Agosti 30, mjini Stuttgart na kushindwa kufanyika. Shoo...
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Promota akamribisha rasmi Rais Magufuli
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Promota Kova ajitwisha pambano la Cheka, Brudov
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Promota Don King kumshuhudia Francis Cheka Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa6JvLaBnjjOShuO870n-Tla1cgvUZ57LdyVTnbVyOA6GP3MNL8KlpwV1eSe1DOhlOB44TDXoGUiFRPxFoUdTORC/diamond.jpg?width=650)
VURUGU UJERUMANI, KUKAMATWA PROMOTA SIRI 7 ZAFICHUKA SHOO YA DIAMOND
10 years ago
Bongo502 Sep
Promota wa show ya Diamond iliyosababisha fujo Ujerumani adai wawekezaji walimzunguka