Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EALA limekuwa Bunge la watalii?

Kwa muda mrefu sasa, Bunge la Afrika Mashariki (EALA), limekuwa katika mizozo isiyoisha kiasi cha wananchi wengi katika nchi wanachama kuhofia kwamba Bunge hilo litasambaratika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba limekuwa chini ya kiwango

NI vigumu kuyaandika haya ninayoandika. Lakini wakati mwingine ni afadhali kuzungumza  ukweli uwe huru. Ninayoyaandika hadharani yanawezekana yanajadiliwa kimya kimya  katika mijadala isiyo rasmi.  Ukweli ni kwamba kila anayefikiri sawasawa...

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO

Mwenyekiti wa Wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wa Tanzania, Adam Kimbisa, akifafanua jambo wakati wa mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu sakata la kutaka kumvua madaraka Spika wa Bunge hilo. Kulia ni mbunge wa bunge hilo, Twaha Taslima na Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose  Bhanji. Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose  Bhanji akifafanua jambo wakati wa mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu sakata la kutaka kumvua madaraka...

 

10 years ago

Mwananchi

Posho yalivuruga Bunge la Eala

Wabunge watoro wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala) sasa watakatwa posho kwa siku ambazo hawahudhurii vikao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la EALA lakumbwa na mgogoro

Bunge la jumuiya ya Afrika mashariki huenda likafungwa iwapo baadhi ya viongozi wakuu wa Afrika mashariki hawataingilia kati .

 

10 years ago

Mwananchi

Akidi yakwamisha Bunge la Eala

Kutotimia kwa akidi ya wabunge wa Rwanda kulisimamisha kwa dakika 15 kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (Eala) kilichoanza jana jijini hapa.

 

10 years ago

Mtanzania

Spika wa Bunge EALA ang’olewa

Margaret-ZziwaNA ABRAHAM GWANDU, ARUSHA,
SPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Margreth Zziwa, jana ameng’olewa kushika wadhifa huo baada ya wabunge 36 kati ya 49 kupiga kura za ndiyo kutokuwa na imani naye kutokana na kile kilichoelezwa ameshindwa kuongoza Bunge hilo.
Kabla ya kufikia uamuzi wa kupiga kura, Kamati ya Bunge ya Sheria, Hadhi na Madaraka ya Bunge hilo ilipewa jukumu la kuchunguza tuhuma kadhaa zilizokuwa zikimkabili ikiwamo kuwapendelea baadhi ya wabunge, kushindwa kufuata kanuni...

 

10 years ago

Mwananchi

Spika Bunge la Eala kikaangoni leo Arusha

 Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Margret Zziwa huenda akang’olewa kwenye nafasi yake katika kikao cha dharura cha Bunge hilo kinachofanyika jijini Arusha leo.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Bunge EALA limesambaratika, nini kifanyike?

>Siyo siri tena kwamba Bunge la Afrika Mashariki (EALA) limesambaratika kutokana na wabunge wake kuendekeza migogoro na hatimaye kukwamisha shughuli za Bunge hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Shyrose Bhanji ‘alivuruga’ Bunge Eala Mashariki

Kwa siku zaidi ya 10 sasa, Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeshindwa kuendelea na vikao vyake mjini hapa kutokana na wabunge wake kugomea vikao hivyo vya mkutano wa pili, wakishinikiza kuchukukuliwa hatua kwanza kwa mmoja wa wabunge wake, Shy-Rose Bhanji wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani