EATV/EA Radio wazindua kampeni mpya ‘Zamu Yako 2015′
Kituo cha runinga cha EATV, sambamba na kituo chake cha East Africa Radio wamezindua kampeni iitwayo ZAMU YAKO 2015. Mkuu wa vipindi wa East Africa Radio, Nasser Kingu (kushoto) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua kampeni ya Zamu yako 2015, Kulia kwake ni Mkuu wa Masoko Eatv & East Africa Radio, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
EATV , East Africa Radio wazindua kampeni ya “Zamu Yako 2015″
Mkuu wa vipindi wa East Africa Radio, Nasser Kingu (kushoto) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua kampeni ya Zamu yako 2015, Kulia kwake ni Mkuu wa Masoko Eatv & East Africa Radio, Alex Galinoma.
Na Andrew Chale wa modewjiblog
KITUO cha Televisheni chenye ushawishi mkubwa kwa vijana nchini Tanzania, EATV, sambamba na kituo chake cha East Africa Radio, mapema leo wamezindua rasmi kampeni kubwa na ya aina yake ijulikanayo kwa jina la ZAMU YAKO...
10 years ago
Michuzi13 Feb
Umeisikia kampeni ya EATV, East Africa Radio iitwayo “Zamu Yako 2015″?
![DSCN9941](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/rhNxKKXVD_OEPeT2_1lhbZv-1Hrvs7pmyv4lUy_1AFx8cFTziwj__c7aPWT4Hv6S327rUKSUwE1nb4FxKgoaFirVcSgLv-pH1IOvK55GefoalA=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSCN9941.jpg)
KITUO cha Televisheni chenye ushawishi mkubwa kwa vijana nchini Tanzania, EATV, sambamba na kituo chake cha East Africa Radio, mapema leo wamezindua rasmi kampeni kubwa na ya aina yake ijulikanayo kwa jina la ZAMU YAKO 2015.Akizungumza na wandishi wa habari jijini...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/610.jpg)
EATV, EAST AFRICA RADIO ZAZUNGUMZIA KAMPENI YA ‘ZAMU YAKO 2015’
10 years ago
Michuzi06 Dec
KITUO CHA RADIO 5 CHAANDAA “KAMPENI YA RADIO 5 VIWANJANI”MSIMU HUU WA SIKUKUU YA XMASS NA MWAKA MPYA
![SAM_0369](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/nP931ma7CeBo8VR1mTxNEdBGGwL88Vr-BAwV2QUHmow2fOIdi1VokaY7GdtvVZ6cmJ_ffDxaFdgVGHLJPD-uNM1Egt83hhKPDMK93WRj1T5MbvUWw9Cnq6E=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0369.jpg?w=660)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tUnUkKlrw5M/VDUElWKboKI/AAAAAAAGong/FGuUFVPuotE/s72-c/2.jpg)
FINCA WAZINDUA KAMPENI YAO MPYA YA FIKA NA FINCA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-tUnUkKlrw5M/VDUElWKboKI/AAAAAAAGong/FGuUFVPuotE/s1600/2.jpg)
10 years ago
Bongo Movies09 May
Sasa ni Zamu ya Waigizaji Bora wa Kiume Piga Kura Yako Tuzo za Tafa
Mchakato unaendelea kwa kuwapigia kura waliopendekezwa kuwania tuzo za filamu Tanzania sasa ni zamu ya waigizaji bora wa kiume kwa mwaka 2015, kila mshindani anaonyesha shauku ya kutaka kuibuka mshindi wa tuzo za filamu Tanzania wote ni wakali mchangue anayemzidi mwezake.
Katika kundi hili unakutana wasanii kama Lumole Matovolwa, Jacob Stephen ‘JB’, Salim Ahmed ‘Gabo’, Omary clayton, Bicco Mathew, Brian Ibrick na Kulwa Kikumba ‘Dude’ ni mpambano wa kukata na shoka .
Piga kura kwa kufuata...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7iEDyxvcqcI/VC6p6uZaLgI/AAAAAAAGnlw/47YLV5OfVqw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Airtel na UNESCO wazindua radio ya kwanza Uvinza Kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-7iEDyxvcqcI/VC6p6uZaLgI/AAAAAAAGnlw/47YLV5OfVqw/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
9 years ago
Bongo508 Sep
Music: Radio & Weasel x Wizkid – Nipe Kinfunguo Yako
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Upinzani Tanzania wazindua kampeni