Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola na utaratibu mpya wa Mazishi

Ugonjwa wa Ebola unahitaji hatua za haraka na umakini katika kuhifadhi miili ya watu waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Utaratibu wa mazishi ya Mandela huu hapa

Kamati ya Maandalizi ya Mazishi ya Kiongozi wa Wazalendo wa Afrika Kusini,Nelson Mandela imeanza kupanga utaratibu wa mapokezi ya wageni mashuhuri watakaohudhuria mazishi ya kiongozi huyo nchini Afrika Kusini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Utaratibu wa mazishi unavyoumiza hisia na imani za jamii

Kenya yatangaza utaratibu mpya wa kufuatwa kwenye mazishi ya wanaofariki kwa corona.

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma akifungua mkutano na waandishi wa Habari na kuzungumzia umuhimu wa kusajili namba za simu za Mkononi na Mfumo mpya wa kusajili namba na kuhakiki kutumia Teknolojia mpya ya Kielekroniki. Mwenyekiti wa umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bwana Rene Meeza akitamka Rasmi Uzinduzi wa usajili mpya wa simu za mikononi kwa kutumia Teknolojia mpya ya kutumia smart phone...

 

11 years ago

Habarileo

Sumatra yazindua utaratibu mpya wa mabasi

MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imezindua utaratibu mpya wa ratiba na vibao maalumu, vitakavyotumiwa na mabasi yanayotoa huduma ya usafiri kati ya Kilimanjaro na Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utaratibu mpya kudhibiti msongamano Dar

UTARATIBU mpya wa kudhibiti changamoto ya msongamano wa magari jijini Dar es Salaam uko mbioni kutangazwa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Ofisa Mkuu Mtendaji wa Wakala...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaokiuka utaratibu kutwaa madaraka, watavuruga utaratibu, wadumu milele

Kuanzia Mei 30, mwaka huu, taifa limeshuhudia kuanza rasmi kwa zoezi la kutangazania na kuchukua fomu kwa wanaokusudia kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Michuzi

UTARATIBU MPYA WA KUPATA BILI KWA WATEJA WA DAWASCO

SHIRIKA LA MAJI SAFI NA MAJITAKA DAR-ES-SALAAM (DAWASCO),  LINAWATANGAZIA  WAKAZI WA JIJI LA DAR-ES-SALAAM NA MJI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI  KUWA, UTARATIBU WA KUPATA BILI KWA MTEJA UMEBADILIKA KUTOKA “SPOT BILL” KWENDA “SPOT SMS” KUANZIA  JULAI 2015.
UTARATIBU HUU UNAMAANISHA KUWA MTEJA ATAKUWA AKIPATIWA BILL YAKE YA MATUMIZI YA MAJI KILA MWEZI KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI, NA UTALENGA WATEJA WA MAJUMBANI TU NA HAUTAHUSISHA KAMPUNI NA TAASISI ZA SERIKALI.
FAIDA ZA UTARATIBU HUU NI PAMOJA NA...

 

10 years ago

Dewji Blog

Petition ya Watanzania UK kupinga vikali utaratibu mpya wa ukaguzi magari

Untitled

WATANZANIA NCHINI UINGEREZA/UK WANAPINGA VIKALI UTARATIBU MPYA WA UKAGUZI WA MAGARI KWA KUTUMIA KAMPUNI BINAFSI ISIYO NA UWEZO WALA VIWANGO KULINGANISHA NA UK STANDARD OF ROAD WORTHNESS (MOT)

-Viwango vya Kukidhi uhalali wa gari kuwa barabarani nchini Uingereza ni vya hali ya juu na havikwepeki kisheria.

-Ni Jambo la kujifunza nyumbani na kuliwekea uratibu wa kisheria kwa kila baada ya muda fulani gari lazima liwe linafanyiwa Road Worthiness test na siyo kuliwekea kampuni binafsi hapa UK...

 

11 years ago

Michuzi

Utaratibu mpya kudhibiti msongamano wa magari Dar njiani kutangazwa

Katika kile kinachoonekana kama nia thabiti ya kuzuia tatizo sugu la msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam, utaratibu mpya wa kudhibiti changamoto hiyo uko mbioni kutangazwa. Mara utakapotangazwa, kila anayehusika hasa madereva katika jiji hilo kubwa la biashara watatakiwa kuuheshimu na kuufuata. Akitangaza utaratibu huo mpya unaotarajiwa kuanza hivi karibuni, Afisa Mkuu Mtendaji wa Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART), Bi. Asteria Mlambo hatua hiyo inalenga kuondoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani