Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Petition ya Watanzania UK kupinga vikali utaratibu mpya wa ukaguzi magari

Untitled

WATANZANIA NCHINI UINGEREZA/UK WANAPINGA VIKALI UTARATIBU MPYA WA UKAGUZI WA MAGARI KWA KUTUMIA KAMPUNI BINAFSI ISIYO NA UWEZO WALA VIWANGO KULINGANISHA NA UK STANDARD OF ROAD WORTHNESS (MOT)

-Viwango vya Kukidhi uhalali wa gari kuwa barabarani nchini Uingereza ni vya hali ya juu na havikwepeki kisheria.

-Ni Jambo la kujifunza nyumbani na kuliwekea uratibu wa kisheria kwa kila baada ya muda fulani gari lazima liwe linafanyiwa Road Worthiness test na siyo kuliwekea kampuni binafsi hapa UK...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Utaratibu mpya kudhibiti msongamano wa magari Dar njiani kutangazwa

Katika kile kinachoonekana kama nia thabiti ya kuzuia tatizo sugu la msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam, utaratibu mpya wa kudhibiti changamoto hiyo uko mbioni kutangazwa. Mara utakapotangazwa, kila anayehusika hasa madereva katika jiji hilo kubwa la biashara watatakiwa kuuheshimu na kuufuata. Akitangaza utaratibu huo mpya unaotarajiwa kuanza hivi karibuni, Afisa Mkuu Mtendaji wa Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART), Bi. Asteria Mlambo hatua hiyo inalenga kuondoa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Trafiki waanza ukaguzi wa magari mabovu

KIKOSI cha Usalama Barabarani Tanzania, kimeanza ukaguzi wa kuyaondoa magari mabovu, ili kupunguza ajali za barabarani. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna (DCP), Mohamed Mpinga, alisema hayi...

 

10 years ago

Vijimambo

WALINZI WA AMANI WATANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI,

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ( DRC) Bw. Martin Kobler akiwafariji walinzi wa amani kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ) wanaohudumu katika Misheni ya MONUSCO ( DRC) kufuatia shambulio lililotokea siku ya Jumanne huko Ben,i Magharibi ya Jimbo la Kivu. Katika shambulio hilo na ambalo limelaaniwa vikali na Katibu Mkuu, Ban Ki Moon, walinzi wawili wamepoteza maisha na wengine 13 wamejeruhiwa

Na Mwandishi...

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma akifungua mkutano na waandishi wa Habari na kuzungumzia umuhimu wa kusajili namba za simu za Mkononi na Mfumo mpya wa kusajili namba na kuhakiki kutumia Teknolojia mpya ya Kielekroniki. Mwenyekiti wa umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bwana Rene Meeza akitamka Rasmi Uzinduzi wa usajili mpya wa simu za mikononi kwa kutumia Teknolojia mpya ya kutumia smart phone...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa NBC wajitolea kuosha magari kutafuta fedha kupinga ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi

  Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha magari ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watu wenye ulemavu wa ngoz (albino) na kusaidia juhudi za  kupinga ukatili dhidi yao katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja wa NBC Kanda ya Dar es Salaam Rachel Mwalukasa na kulia ni Meneja wa Tawi la Sea Cliff, Mariam Kombo. Baadhi ya mameneja wa matawi ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea kuosha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola na utaratibu mpya wa Mazishi

Ugonjwa wa Ebola unahitaji hatua za haraka na umakini katika kuhifadhi miili ya watu waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utaratibu mpya kudhibiti msongamano Dar

UTARATIBU mpya wa kudhibiti changamoto ya msongamano wa magari jijini Dar es Salaam uko mbioni kutangazwa. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Ofisa Mkuu Mtendaji wa Wakala...

 

11 years ago

Habarileo

Sumatra yazindua utaratibu mpya wa mabasi

MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imezindua utaratibu mpya wa ratiba na vibao maalumu, vitakavyotumiwa na mabasi yanayotoa huduma ya usafiri kati ya Kilimanjaro na Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani